Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Tupe mawazo Yako ilituwezekuanzia mjadala hapo🤔Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
What is the cure of the said problem ?Usually Hernia Occurs when an internal organ or soft tissue pushes through a WEAK SPOT in your muscle or tissue .
Mjibu kwa hoja!You are too naive to question yourself on this matter. Wacha kupuyanga hovyo.
EeeenHeeeee Heeee!Usually Hernia Occurs when an internal organ or soft tissue pushes through a WEAK SPOT in your muscle or tissue .
Wanataka, au walisha anzisha sasa ni kuiimarisha. Si unaona mipaka inawekwa kabisa?Wanataka kuanzisha Jamhuri ya Oman Loliondo.
Mbona kikwete hujamtaja wewe kenge?Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
Uzoefu umeonyesha Waislamu wakiongoza nchi kunakuwa na uponyaji wa kitaifa, upendo, neema ya mtu mmoja mmoja. Hawana chuki wala kisasi na wanapenda kutafuta hela/ riziki wao wenyewe na hawana hiana na wengine wakipataLoliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
Kwanini mauaji ya watu kutokea kila nchi unapokuwa chini ya rais mkiristo?????Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
Mi nafikiri ni coincidence,hili Swala lilikwepo wakati wa Maghu,mwekezaji aliongezewa miaka mpaka 15!!lakini wakati wa Maghu tunajua kwanini taarifa nyingi zilikuwa hazitoki,sasa hv hawamuongezei miaka,wanaamisha kabisa watu,na huu unyama haukuanza leo,hii amisha amishq ya wamasai ilikuwepo tangu mwaka 1951!hakuna Cha u Oman,uzenj,Wala uislam hapa,ni uarifu tu,sate sponsored land grabbing,Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
Ngoja tusubiri tuwaone hawa Wazanzibar wanataka kufanya kitu gani LoliondoLoliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
Usually Hernia Occurs when an internal organ or soft tissue pushes through a WEAK SPOT in your muscle or tissue .
Shida ni udini,,,, kipindi cha jpm hapo loliondo, masai walikua evicted na vibanda vikachomeka, ng'ombe zikataifishwa,,, hakuna mtu alihojiLoliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.
Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.
Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.
Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.
Watu wa Oman wana mkono?
Tofautisha oman na UAEWanataka kuanzisha Jamhuri ya Oman Loliondo.