jibril beder
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 236
- 235
Song kwenda man u ipi?Song kutoka Arsenal kwenda Man U.
Falcao kutoka Man utd kuja Chelsea.
Bila kusahau OKWI alipotoka uarabuni kuja Yanga.
Morata siwezi kumlaumu naamini akipata muda wa kucheza zaidi ata improve. Naomba asifananishwe na wachazaji wengine hivyo mimi sioni kama ni muda muafaka kumlaumu.
Niulizwe swali..
sent from using iphone 7+ mobile app