Hahahahah we jamaa barnaMie nakumbuka raha ya kunya polini,
Pia kuna siku tukiwa wadogo tulienda kucheza mpila kijiji cha jirani wakatufunga goli kumi na mbili kwa moja niliumia sana mpaka nikamwambia rafiki yangu tuwaache wenzetu watangulie nyumbani sisi tubaki mpaka usiku tukaenda kunya mavi ndani ya kisima cha kijiji kisha tukasepa mpaka leo hii hatujawahi kutoa siri nahisi hata rafiki yangu alishaga sahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ya kinyama nyama.Mie nakumbuka raha ya kunya polini,
Pia kuna siku tukiwa wadogo tulienda kucheza mpila kijiji cha jirani wakatufunga goli kumi na mbili kwa moja niliumia sana mpaka nikamwambia rafiki yangu tuwaache wenzetu watangulie nyumbani sisi tubaki mpaka usiku tukaenda kunya mavi ndani ya kisima cha kijiji kisha tukasepa mpaka leo hii hatujawahi kutoa siri nahisi hata rafiki yangu alishaga sahau
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Me nakumbuka kimama mamaaa
Hujawahi kuniangusha mh mjumbe
Ama kwa hakika, sinto kuangusha ndugu mjumbe..Hujawahi kuniangusha mh mjumbe
Kuna haja ya kuandaa maandamano ya kukupongeza mh mjumbe kwa juhudi zakoAma kwa hakika, sinto kuangusha ndugu mjumbe..
Amen...Huyo atakuwa kwenye kitengo nyeti katika uandaaji wa hizo pongezi za kimaandamano
Ki baba babaa je?Sijui kama kuna hatua niliyoruka katika michezo ya utotoni.
Nimecheza michezo mingi sana ya utotoni
Michezo kipindi sijaanza kusoma shule,
Michezo wakati wa kuchunga ng'ombe
Michezo kipindi nasoma shule ya msingi
Aina mbalimbali za kutega ndege(kwa urimbo, upinde na Mshale, mpira kama wakufungia mizigo kwenye baiskeli au pikipiki, kutega ndege kwa kutumia maboga, n.k)
Nimewinda ndege, sungura, digidigi, pimbi kwa kutumia Upinde na Mishale, Marungu, Mbwa.
Mpira ndio nimecheza sana.
Huko ndio usiseme sasa, nimecheza sana.Ki baba babaa je?
Hadi rede duuhHuko ndio usiseme sasa, nimecheza sana.
Nimecheza rede(nilikuwa napenda kuingia kama mtu wa kotekote), mchezo mmoja sisi tunauita IKHALU( upo kwenye picha hapo juu watoto wanarusha kajiwe juu huku wakiingiza vijiwe vingine kwenye kashimo kadogo chini), mwingine tulikuwa tunauiya CHAILETI (tunachora madrafti chini makubwa halafu unachukua kajiwe unaanza kukasukuma kiruke hayo madrafti kwa mguu mmoja huku mwingine ukiwa umeukunja usiguse chini), mchezo wa kushika kamba watu wawili halafu mmoja akiwa katikati anarukaruka.
Hiyo ni baadhi tu ambayo tulikuwa tunacheza tukiwa mix na wasichana
Mie nakumbuka raha ya kunya polini,
Pia kuna siku tukiwa wadogo tulienda kucheza mpila kijiji cha jirani wakatufunga goli kumi na mbili kwa moja niliumia sana mpaka nikamwambia rafiki yangu tuwaache wenzetu watangulie nyumbani sisi tubaki mpaka usiku tukaenda kunya mavi ndani ya kisima cha kijiji kisha tukasepa mpaka leo hii hatujawahi kutoa siri nahisi hata rafiki yangu alishaga sahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wa watoto wa magorofani bado haujaanzishwa, muwe wavumilivu katika kipindi hichi