Tujikumbishe kidogo maisha ya vijijini

Hiyo ya matairi sie tulikua tunayaendesha kwa kutumia miti. Unakua na miti yako miwili ya kama mita moja moja hivi unaingiza ndani ya tairi kila upande unaanza kuendesha. Sasa ili miti kule ndani ya tairi iteleze vizuri bas inabidi umiminie maji, oil chafu ya magari, mafuta ya kula, etc. Hata na sie "magari" yetu yalikua yakitumia "Wese"
 
Watu tume propose mademu zetu primary kwa kutumia zile pipi pete unakula pipi kile kipete unaenda kumvalisha binti


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tushaweka sana vioo chini ya madawati kwa ajili ya kuwachungulia dada zetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jinsi ya kukutana ana demu primary mnaenda kwao pale nje mmoja anakaa mbele mbali kidogo mwingine nyuma af mnaanza kuitana kwa nguvu majina yenu demu akiwasikia anatoka mwenyewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kipindi hicho hakuna simu jinsi ya kuonana na binti unampa saa flan hivi zilikua zinawaka na zina alarm kwa wakubwa wanazikumbuka unamsetia alarm muda flan ikilia tu inabidi atoke nje muhuni uko pale unamsubiri
Ni kwenda na muda tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tushacheza mchezo mnakusanya mchanga katikati mnaweka kijiti af mnaanza kupunguza mchanga huku mkiimba tule tule tumbakishie baba asa angusha kile kijiti balaa lake utaliona


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Iliku mkiona watu wanajenga nyumba wakaishia kwenye beam basi nyie uwanja wenu wa kufukuzana mule juu unaruka dirisha to dirisha mlango to mlango af juu ukianguka mpaka chini hata kulia huwezi mbavu zimebana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huo wa madraft tuliuita tikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakumbuka mchozo flani wa karata tuliuita KIBOY ni kama last card, yan unacheza anaebak na karata kubwa wa mwisho anapigwa vibao kama thaman ya karata, mfano ukibaki na joker unapigwa vibao hamsini, kuna jamaa alibaki na joker na namba mbili zilikuwa mbili yani hapo anatakiwa vibao mia, asee jamaa alipigwa hadi akaingia chini ya stuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakumbuka mchozo flani wa karata tuliuita KIBOY ni kama last card, yan unacheza anaebak na karata kubwa wa mwisho anapigwa vibao kama thaman ya karata, mfano ukibaki na joker unapigwa vibao hamsini, kuna jamaa alibaki na joker na namba mbili zilikuwa mbili yani hapo anatakiwa vibao mia, asee jamaa alipigwa hadi akaingia chini ya stuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakumbuka mchozo flani wa karata tuliuita KIBOY ni kama last card, yan unacheza anaebak na karata kubwa wa mwisho anapigwa vibao kama thaman ya karata, mfano ukibaki na joker unapigwa vibao hamsini, kuna jamaa alibaki na joker na namba mbili zilikuwa mbili yani hapo anatakiwa vibao mia, asee jamaa alipigwa hadi akaingia chini ya stuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hicho kipande cha chungu kwetu kilikuwa kinaitwa Kimadi...[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…