Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Amini kapinga ngoma Gadafi kaimba wimbo maiti nayo yasema Aa! aacha Tanzania utaitambua

Maiti siyo mwingine ni Amini,
Na Aminii amini kapiga ngoma...

Kambona aliagiza Chipaka a Kamaliza,pindueni mkiweza nitawapeni mapesa,nikirudi safarini Uingereza!

Nani alitunga wimbo huu tuliimba tukiwa watoto?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mwalimu John Komba, ndiyo maana akapelekwa jeshi kuwa kamisaa; alistaafu jeshi akiwa kapteni. Shairi jingine la wimbo huo ni pamoja na:

"Bwana Lumbumba wa kongo
walimpiga magongo
Wakamvunja mgongo
Wakamtoa Ubongo
wala hiyo si uwongo ni ukweli!
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki
Kina uwongo mwingi kuliko ukweli; huyu mwandishi (sijui ni Mwijage au Kaijage- sikumbuki sawasawa) alikuwa na matatizo yake binafsi pia, akaona njia nzuli ni ku-flip coin ili matatizo yake hayo iwe ni kwa sababu ya Nyerere.
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki
Last Activity
16.11.2016
[emoji848]
 
Naendelea kusoma kitabu cha The Dark Side of Nyerere.Kitabu hiki kilipigwa marufuku Nchini.Lakini iliniongezea kiu kukisoma

Hadi Muda Huu Kambona amesahaulika kwenye Historia.Ipo siku atarudi kwenye Historia ya Nchi hii.

Nilitegemea Barack Obama Road iwe Kambona Road au Shanty Town Moshi iwe Oscar Kambona Streat.Osterbay iitwe Oscar Kambona Streat.Taifa haliwezi kurithi maadui wa mtu mmoja.Ni ujinga na Uzuzu.Ni laana.Tutende haki
speechless
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom