Ngangali ndio ilikuwa ya kiume Na Luteni KalamaHajawahi kuwa na ufalme wowote, ila amewahi kufanya vizuri sana na wimbo wa Mtoto wa Geti kali, ilikuwa ni bonge moja la jiwe
Jamaa aritangulia kupata u STAR nature alifuata badaeHapana sidhani kama alikua juu zaidi ya Sir Nature, nijuavyo walikua wanashindana na kupigana vijembe mpaka aliposalimu amri na kufanya collabo ya Mzee wa Busara remix.
Jamani i miss Mzee wa Kibla, where is he?
Hahaha we jamaa una furahisha sana Amin amin nakuambia juma nature na kismat chake ajawahi fika ata nusu ya diamond sembuse inspector harun (babu) in jesus’s Voicehuyu jamaa nakumbuka enzi nipo form one 2001 alikuwa ndio kama diamond wa bongo fleva sasa hivi
ni kama east coast na tmk wanaume kabla ya kugawanyika tmk kuwaona east coast watoto wa mama wazee was upanga.Hapana sidhani kama alikua juu zaidi ya Sir Nature, nijuavyo walikua wanashindana na kupigana vijembe mpaka aliposalimu amri na kufanya collabo ya Mzee wa Busara remix.
Jamani i miss Mzee wa Kibla, where is he?
Tatizo Inspector mmeanza kumjulia kwenye mtoto wa geti kali, enzi hizo nature yupo kwenye game kitambo sana,Jamaa aritangulia kupata u STAR nature alifuata badae