Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Hajawahi kuwa na ufalme wowote, ila amewahi kufanya vizuri sana na wimbo wa Mtoto wa Geti kali, ilikuwa ni bonge moja la jiwe
Mkuu hapo mwisho usije sababisha wasiojulika kukuwinda,maana umelitaja jina la malaika bure
 
we mshabiki umepoteza kumbukumbu inspector hajawai kujiunga tmk wanaume..

by 2001 juma nature hakuwa na nyimbo yake mwenyewe.. alitamba na kigeto geto ambayo alishirikishwa na king sepeto.. maskin jeuri alishirikushwa na manduli mob, mtulize alishirikishwa na mabaga fresh..

nature alianza tamba kwa kushirikishwa kabla hajatoa nyimbo yake mwenyewe
Nature ni 'Chorus killer' acha avume kwa kushirikishwa. Hadi leo hii sijaona aliyeweza kumfikia kwenye chorus, ukizubaa mwenye nyimbo anapotezwa.
 
Siyo KR ni mzimu ndiyo huyo alisemwa mabawa yalikuwa madogo, alipotoka akabanwa na mlango. KR hadi nyimbo ya Dar mpaka Moro inatoka yupo bado.


Kiujumla sababu ya wao kuondoka, ndiyo maudhui ya nyimbo inamlenga Fella ndo chanzo.
Yes Big boss ndo alikuwa source, si unajua mambo ya pesa. Sema jamaa sikupenda walivyo tengana mana walipunguza ushindani kwa hasimu wao mkuu ECT na mwisho ECT nayo pesa ikaleta shida kundi likapotea. AM ECT DIE HARD FAN WHO NEVER HATED TMK
 
Kwangu mimi Inspector ni mmoja kati ya "story Teller Rapper" mzuri sana pembeni ya Profesa Jay.

ukisikiliza ngoma kama Mtoto wa geti kali au kisa cha baba mkwe utakubali hii kitu...

Japo beef lake na Juma Nature na wasanii wenzie wa temeke lilikuwa linamrudisha nyuma ila jamaa alifanya vzuri sana kwa wakati wake.
 
Yes Big boss ndo alikuwa source, si unajua mambo ya pesa. Sema jamaa sikupenda walivyo tengana mana walipunguza ushindani kwa hasimu wao mkuu ECT na mwisho ECT nayo pesa ikaleta shida kundi likapotea. AM ECT DIE HARD FAN WHO NEVER HATED TMK
Hata mimi sikupenda hilo, ila ukifuatilia kwa umakini Nature angebaki kuna wasanii wangekandamizwa zaidi maana alikuwa anapewa priority kubwa yeye. Chanzo cha mgogoro ni yeye kuhoji hilo, Fella hakuwa anajali wengine anaangalia yule anayempa ulaji.


Dah! Walipokuja kuanzisha kundi jipya, Fella kawapoteza kwa kutumia media. Wakakosa support, hadi leo chanzo cha Nature kupotea ni media kumtenga
 
Hapana ni kigetogeto na king Sapeto halafu nature akaja kuirudia mwenyewe tena hiyo kigetogeto kama nyimbo yake na kuleta sintofaham.. sapeto alilalamika sana kuibiwa nyimbo yake
Pepo mbaya kishatukumba, ukijichanganya tunakudunda, ni king sapeto nature boniventure na p funk tunapeta, hakuna mfano wa wazimu tulionao vichaa tumechoka.

Mkuu niamini mimi fatilia hilo, nyimbo ya kwanza nature kusikika ni Mtulize ambayo alishirikishwa na Mabaga fresh.
 
Hata mimi sikupenda hilo, ila ukifuatilia kwa umakini Nature angebaki kuna wasanii wangekandamizwa zaidi maana alikuwa anapewa priority kubwa yeye. Chanzo cha mgogoro ni yeye kuhoji hilo, Fella hakuwa anajali wengine anaangalia yule anayempa ulaji.


Dah! Walipokuja kuanzisha kundi jipya, Fella kawapoteza kwa kutumia media. Wakakosa support, hadi leo chanzo cha Nature kupotea ni media kumtenga
Na kuondoka kwa Nature aliye faidika zaidi ni Chege mana chorus zote akabaki anapiga yeye, na chemistry yake na YP pamoja na Temba ikawa nzuri, kufa kufaana aisee
 
Mkuu hongera 2001 uko form I wakati umezaliwa 1990[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125] View attachment 753799
Mkuu humu kuna watu status zao zinasema born 1901 so hii ya jamaa isikupe shida.kuna tatizo linatokeaga wakati mtu anajiunga JamiiForums ktk kipengele cha birth date mwaka waliou-set wengine hawahangaiki kuubadilisha matokeo yake ndiyo haya.
 
Na kuondoka kwa Nature aliye faidika zaidi ni Chege mana chorus zote akabaki anapiga yeye, na chemistry yake na YP pamoja na Temba ikawa nzuri, kufa kufaana aisee
Nature ana moyo wa ajabu mno, aliliona hilo mapema kisa yeye ana jina kubwa angetumika yeye huku waliyobaki wakisota. Hakutaka mtu apoteze kipaji chake, ndo maana akajitoa kuwapa nafasi
 
Gangwe mobb album
1.simulizi la ufasaha
Ilibeba vibao
Mtoto wa geti kali 1&2
Tatizo noti feat mr paul
Stata
Vidonge vyao feat nasma hamis
Ngangali
Nk

Nje ndani album
-asali wa moyo 1&2
-nje ndani
Kwenye album ya kwanza umesahau ngoma inaitwa MTU BEE. Iyo ngoma wakati inalekodiwa mi nilikuwepo ndani ya studio imefanyika kwa mastar j. Na tukachukua ngoma aliyofanya na mr. Poo inatwa buzi.
 
Yaap na hapo ndio Inspector alionekanaga mnafki maana wenzake walijitoa Tmk wanaume na kuanzisha TmK halisi yeye hakutoka mpaka wakamtungia wimbo wa Ndege Tunduni.

Those times when music was real.


Liongo wewe, hata aibu hauna.
Inspector alikua TMK wanaume???
Ndege tunduni walimtungia Inspector????
 
Nyimbo iliyomtoa nesha ni ya mabaga fresh. Inaitwa mtulize kipindi icho juma nature ana nyimbo yake ata moja wakati uwo haruna ameshaiti na ngoma ya ngangari.
Mkuu nashukuru kwa kumwelewesha, maana wengine hapa wanahisi tunafanana nao kwenye mziki wakati wao ni kizazi cha juzi hata hao kina (dj snox, mkuu wa majeshi - mabaga fresh), walume ndago, cbm, uvc, gwm, lwp, sgf, bdp, bjb, cbm hawajui kitu kuhusu hayo makundi
 
Mkuu humu kuna watu status zao zinasema born 1901 so hii ya jamaa isikupe shida.kuna tatizo linatokeaga wakati mtu anajiunga JamiiForums ktk kipengele cha birth date mwaka waliou-set wengine hawahangaiki kuubadilisha matokeo yake ndiyo haya.
Hiyo tunaita kukosa umakini, sasa kama ndio angekuwa anajaza fomu ya kujiunga freemason je? Mkuu huu ni uongo tu tena ukafuatiwa na usahaulifu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu nashukuru kwa kumwelewesha, maana wengine hapa wanahisi tunafanana nao kwenye mziki wakati wao ni kizazi cha juzi hata hao kina (dj snox, mkuu wa majeshi - mabaga fresh), walume ndago, cbm, uvc, gwm, lwp, sgf, bdp, bjb, cbm hawajui kitu kuhusu hayo makundi
DJ SNOX ZANGU LA UNGA, JB MKUU WA MAJAJI, tatizo humu jamiiforums sikuhizi kuna watu wanavamia vitu pasipo kuvifahamu kiundani, kuna watu kila uzi wanataka kucomment hata kama hawana details za kutosha. So tuendelee kukumbushana mkuu, mimi sio old school Sanaa ila kwa kiasi flani nilifatilia sana bongo Flava ya mwanzo mwanzo
 
Tatizo Inspector mmeanza kumjulia kwenye mtoto wa geti kali, enzi hizo nature yupo kwenye game kitambo sana,

Anyway pengine ushabiki ila kwangu me ni nature kwanza.
Sijakukoquote kwa ubaya ila kwasabu umetokea kumkubali mtu ambaye na mimi nilimkubali sana tu, ingawa ntakuwa na nyongeza ndogo tu kusaidia kuweka sawa history.
Nimekulia Temeke, Kurasini, nimepata kuwafahamu Inspector na Nature tangu nikiwa primary, Nature shule moja ila alinitangulia madarasa machache mbele, tuliishi mtaa mmoja ila tulitenganishwa na reli, wao upande wa TAZARA kota sisi upande raia-baharini, kabla hata hajaanza rap.
Inspector alikuwa Temeke kama eneo, umbali wa kama nusu saa kutembea kwa mguu kutoka maeneo yetu, ninachokikumbuka na kukijua sabu nilikishuhudia, Temeke ilianza kutambulishwa kibongo flavor na kina Inspector(ie Gangwe Mob), GWM (Kulwa na doto, walikuwa wanaishi kota za uwanja wa Taifa), in reality Inspector nimemfahamu through Nature sabu tulikuwa tunapiga ruti Temeke kupiga free style na kusikilizia opportunities za kuingia studio kwa Inspector, Nature mwenyewe alikuwa anamkubali sana Inspector, baadaye ndio akaja kushirikishwa kwenye Kigetogeto, Maskini jeuri na Mtulize then akahit sana kwa sauti na style yake pia, from there akaja na single zake binafsi.
Mtaa huo huo tulikuwa na vijana wa R&B, B LOVE M(Banana Zoro na mwenzake), wote clan moja, same place for rehearsal and free styles, walihit na wimbo wao wa Nakupenda..!!!)))
In the end Nature alikuja wika zaidi ya wote TMK.
Mpaka mara ya mwisho kukutana naye ana kwa ana aliniambia anajenga maeneo ya Mbagala, nilisikia anaishi huko.
 
Sijakukoquote kwa ubaya ila kwasabu umetokea kumkubali mtu ambaye na mimi nilimkubali sana tu, ingawa ntakuwa na nyongeza ndogo tu kusaidia kuweka sawa history.
Nimekulia Temeke, Kurasini, nimepata kuwafahamu Inspector na Nature tangu nikiwa primary, Nature shule moja ila alinitangulia madarasa machache mbele, tuliishi mtaa mmoja ila tulitenganishwa na reli, wao upande wa TAZARA kota sisi upande raia-baharini, kabla hata hajaanza rap.
Inspector alikuwa Temeke kama eneo, umbali wa kama nusu saa kutembea kwa mguu kutoka maeneo yetu, ninachokikumbuka na kukijua sabu nilikishuhudia, Temeke ilianza kutambulishwa kibongo flavor na kina Inspector(ie Gangwe Mob), GWM (Kulwa na doto, walikuwa wanaishi kota za uwanja wa Taifa), in reality Inspector nimemfahamu through Nature sabu tulikuwa tunapiga ruti Temeke kupiga free style na kusikilizia opportunities za kuingia studio kwa Inspector, Nature mwenyewe alikuwa anamkubali sana Inspector, baadaye ndio akaja kushirikishwa kwenye Kigetogeto, Maskini jeuri na Mtulize then akahit sana kwa sauti na style yake pia, from there akaja na single zake binafsi.
Mtaa huo huo tulikuwa na vijana wa R&B, B LOVE M(Banana Zoro na mwenzake), wote clan moja, same place for rehearsal and free styles, walihit na wimbo wao wa Nakupenda..!!!)))
In the end Nature alikuja wika zaidi ya wote TMK.
Mpaka mara ya mwisho kukutana naye ana kwa ana aliniambia anajenga maeneo ya Mbagala, nilisikia anaishi huko.
Mkuu umenikumbusha B love M na wimbo wao anakudanganya
 
DJ SNOX ZANGU LA UNGA, JB MKUU WA MAJAJI, tatizo humu jamiiforums sikuhizi kuna watu wanavamia vitu pasipo kuvifahamu kiundani, kuna watu kila uzi wanataka kucomment hata kama hawana details za kutosha. So tuendelee kukumbushana mkuu, mimi sio old school Sanaa ila kwa kiasi flani nilifatilia sana bongo Flava ya mwanzo mwanzo
Kila nikikumbuka bongo flavour za kitambo dah! Naona kama vijana sahv wanacheza na game, but ndio hivyo zamani hakukuwa na mshiko.
 
Back
Top Bottom