Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Nature ana moyo wa ajabu mno, aliliona hilo mapema kisa yeye ana jina kubwa angetumika yeye huku waliyobaki wakisota. Hakutaka mtu apoteze kipaji chake, ndo maana akajitoa kuwapa nafasi

Kati ya watu wanaopaswa kumshukuru nature ni huyu Chege maana alikua keshapoteza dira kbs haeleweki yupo manyema family au wapi akawa anamfuata nature kila aendapo.. dah maisha haya...
 
huyu jamaa nakumbuka enzi nipo form one 2001 alikuwa ndio kama diamond wa bongo fleva sasa hivi


Unakosea, alifunikwa sana na juma nature, 2001 nyimbo km za kigetogeto, jinsi kijana na hili game zilikuwa zina hit sana
 
Jamaa aritangulia kupata u STAR nature alifuata badae


Wote walitoka 2000 mwishoni, inspector alishirikishwa nyimbo ya zay b niko gado ndio akatoa mtoto wa geti kali, nature alipiga nyimbo na gwm halafu akapiga za kigetho getho akiwa na biko na king sepeto halafu akaifanyia remix akimshirikisha mr paul, ndio akatoa jinsi kijana 2000 hyohyo

Ikumbukwe wakati pfunk anafungua studio kulikuwa na nyimbo ya kufungua studio, chorus alisimama tid, wasanii wengine walikuwa kina nature, jmoe, crazy gk nk ila inspector alikuwa bdo hajatoka
 
Yaap na hapo ndio Inspector alionekanaga mnafki maana wenzake walijitoa Tmk wanaume na kuanzisha TmK halisi yeye hakutoka mpaka wakamtungia wimbo wa Ndege Tunduni.

Those times when music was real.


We jamaa muongo, lini inspector alikuwa wanaume tmk? Inspector alishirikishwa na nature mtoto wa busara remix tuu ila hakawahi kuwa kundi lingine zaidi ya gangwe mob
 
we mshabiki umepoteza kumbukumbu inspector hajawai kujiunga tmk wanaume..

by 2001 juma nature hakuwa na nyimbo yake mwenyewe.. alitamba na kigeto geto ambayo alishirikishwa na king sepeto.. maskin jeuri alishirikushwa na manduli mob, mtulize alishirikishwa na mabaga fresh..

nature alianza tamba kwa kushirikishwa kabla hajatoa nyimbo yake mwenyewe



Nature katoka 2000 mwishoni, ilianza julietha ya dully, ikaja kigetogeto ya kingsepeto, biko na nature, ikaja machozi lady jay dee, ikaja kigetogeto remix ya nature na mr paul, ikaja niko gado, ikaja mtoto wa geti kali, ikaja jinsi kijana ya nature, hizi ni 2000 mwishoni, nyimbo za 2001 ni km bongo dsm ya prof jay, mtani jirani ya gwm na nature, maskini jeuri ya manduli mobb(humu yupo bwana mkubwa na mh temba feat nature) wakaja kina sister p, dah joh, balozi kwenye chat, jose mtambo, salome ya dully nk
 
We jamaa muongo, lini inspector alikuwa wanaume tmk? Inspector alishirikishwa na nature mtoto wa busara remix tuu ila hakawahi kuwa kundi lingine zaidi ya gangwe mob
Ngoma inaitwa 'mzee wa busara' sio mtoto wa busara pia Inspector alishawahi kuwa TMK Wanaume Halisi lililoanzishwa na Nature baada ya kujitoa TMK wanaime family.....
 
Inspector akiwa TMK wanaume halisi
Wanaume_Halisi.jpg
 
Inspekta mzee wa mboga saba babuu mtoto wa geti kali ilikuwa kali.
 
Kwa kutoka inspekta alianza kiukwelu ila kwa kukimbiza huko temeke uswahilini wenyewe wakijita walumendago by then, nature alikua mkali balaa ndo maana alikua anaombwa featuring nyingi kabla mwenyewe hajatoka..
Hahahaha unanichekesha unaposema nature ameanza kutoka kwenye featuring,....
Unaweza ukanambia featuring ya kwanza ya Nature ni ipi halafu uniambie wimbo kama JINSI KIJANA ANAVYOBADILI TABIA au wimbo kama KIGHETO GHETO zilitoka mwaka gani.

Halafu niambie Inspector nyimbo yake ya kwanza ilikua upi na ilitoka mwaka gani.

Habari za Nature muulize P.Funk Majani,
Halafu Nature hakukimbiza tu uswazi hata ushauani alikimbiza meeeen. lol
 
[QUOTE="culture gal, post: 2

Nawapenda wote tho....
Ila Nature is my best.

guess what!! At that time nilikua na miaka 11.... lol
 
Mashindano ya Mfalme wa Rhymes, ule mtanange kila mtu alikuwa anaona Inspector Haroun anabeba. Ndio pale Mzee Mzima Sugu alipopanda jukwaani na Darubini Kali kuja kumsaidia Afande Sele. Haruna Kahena alitisha sana enzi zake
Mi mwenyewe ingawaje nilikuwa kiumeni camp (minus makundi) lakini tangu mwanzo nilijua mbele ya Darubini Kali tusingechomoka unless kuwe na figisufigisu
 
Back
Top Bottom