Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
[emoji106] [emoji106] 100/100 mkuuPamoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106] [emoji106] 100/100 mkuuPamoja.
Sure brother, mimi nimepoteza sana passion ya music nowadays, enzi hizo utaniambia nini kuhusu bongo music, wasanii walikuwa realKila nikikumbuka bongo flavour za kitambo dah! Naona kama vijana sahv wanacheza na game, but ndio hivyo zamani hakukuwa na mshiko.
B love M (Banana na Masiga) nikikumbuka those days napata feelings jinsi nilivyokuwa naandika nyimbo mpya kwenye daftari enzi za primary schoolMkuu umenikumbusha B love M na wimbo wao anakudanganya
Hivi Masiga alipotelea wapiB love M (Banana na Masiga) nikikumbuka those days napata feelings jinsi nilivyokuwa naandika nyimbo mpya kwenye daftari enzi za primary school
Jamaa kuna kipindi alikuwa anafanya kazi Tigo sasa sijui kama anaendeleaHivi Masiga alipotelea wapi
Tena Ana ID humu as Alex MasigaHivi Masiga alipotelea wapi
ila hayuko active tangu 2013Tena Ana ID humu as Alex Masiga View attachment 753900
B love M = Banana Love Masika.Mkuu umenikumbusha B love M na wimbo wao anakudanganya
Hivi Masiga alipotelea wapi
B love M = Banana Love Masiga
Ila Masika kuna kipindi alikuwa anafanya kazi Tigo nahisi alikuwa mkuu wa kanda.
Nature [emoji119][emoji119]... haifai kumuongelea humu kwa ukubwa yani anastahili thread yake binafsiHapana sidhani kama alikua juu zaidi ya Sir Nature, nijuavyo walikua wanashindana na kupigana vijembe mpaka aliposalimu amri na kufanya collabo ya Mzee wa Busara remix.
Jamani i miss Mzee wa Kibla, where is he?
Mkuu siku hizi watu wanakosa radha ile ambayo watu wa zamani walikua wanaipata ata show za siku hizi za Piga kelelee na mikono juuu hazina vibe kama vile ilikua kitambo...Mwaka 2001 pale Pool Side, Kilimanjaro Hotel enzi hizo, Unique Sisterz walikuwa wanazindua album. Wasanii waalikwa kibao walifanya performance zao. Baadae alikuja kupanda Haruna Kahena peke yake, akapiga bonge la show moja sitasahau mpaka kesho.
SaluteHuyu jamaa ndio aliyekuwa msanii anayepiga show kali tena akiwa amepiga pamba kali na zilimtoa kabla blue byser hajaja kumfunika. Nakumbuka show zake zile ufukweni akiwa na gangwe gear
Mmepishana tu kuelewanaHahaha we jamaa una furahisha sana Amin amin nakuambia juma nature na kismat chake ajawahi fika ata nusu ya diamond sembuse inspector harun (babu) in jesus’s Voice
huyu jamaa nakumbuka enzi nipo form one 2001 alikuwa ndio kama diamond wa bongo fleva sasa hivi
KighetoghetoUko sahihi.. halafu nature hakutoka na nyimbo yake nafikiri alishirikishwa na king sapeto ndo akaua kwenye verse yake
Pepo mbaya kishatukumba, ukijichanganya tunakudunda, ni king sapeto nature boniventure na p funk tunapeta, hakuna mfano wa wazimu tulionao vichaa tumechoka.
Mkuu niamini mimi fatilia hilo, nyimbo ya kwanza nature kusikika ni Mtulize ambayo alishirikishwa na Mabaga fresh.
Mzee wa Busara je? Asali wa moyo vipi mkuu?