Ila jamaa naye katudanganya, kwenye yale mashindano Inspector hakuwa na influence yoyote, maana kulikuwa na vichwa vinaandika hatari sio mistari yake ya kuungaunga. Watu waliokuwa tishio ni Profesa Jay, SoloThang na Afande mwenyeweMi mwenyewe ingawaje nilikuwa kiumeni camp (minus makundi) lakini tangu mwanzo nilijua mbele ya Darubini Kali tusingechomoka unless kuwe na figisufigisu
Kabisa. Dalili pure za Uswahili uliopitilizaNyimbo zake zilijaa sifa za madiko diko misosi nk
yupo mbagala kibulugwaHapana sidhani kama alikua juu zaidi ya Sir Nature, nijuavyo walikua wanashindana na kupigana vijembe mpaka aliposalimu amri na kufanya collabo ya Mzee wa Busara remix.
Jamani i miss Mzee wa Kibla, where is he?
Nature hata akae miaka 30 bila kutoa wimbo, ubora wake uko pale pale, mimi nikikuta diamondi anafanya shoo bure mlimani city hata siwezi kusimama kumshangaa, ila sasa Nature awe dar live na hili game baba ake!!! Hatari tupu.Hapana sidhani kama alikua juu zaidi ya Sir Nature, nijuavyo walikua wanashindana na kupigana vijembe mpaka aliposalimu amri na kufanya collabo ya Mzee wa Busara remix.
Jamani i miss Mzee wa Kibla, where is he?
Naona wadau wanajaribu kumuoverrate Inspekta[emoji16], ni kweli alisumbua sana na wimbo wake Mtoto wa Geti kali but there was no way akatangaza ufalme dhidi ya watabe waliokuwepo enzi hizo kama Profesa Jay, Dudubaya, Nature, SoloThang,GK, n.k sema kila mmoja alikuwa na mawe yake yanayosumbua, hakukuwa na mfalme. But he was one of the best kwa miaka kati ya 2001 hadi 2003Nature hata akae miaka 30 bila kutoa wimbo, ubora wake uko pale pale, mimi nikikuta diamondi anafanya shoo bure mlimani city hata siwezi kusimama kumshangaa, ila sasa Nature awe dar live na hili game baba ake!!! Hatari tupu.
Anyway niko nje ya mada kdg, Ispector alisumbua kwa wakati wake ila sidhani kama aliwahi kusumbua kihivyo hadi kuwapoteza kina prof jize, dula soo, mnyalu make t, dully, TID, walikuwa level sawa tu, aliyesumbua baadae alikuwa Mr. Nice
...Kwa kumpenda mtoto wa kikhalat, bambadi mweusi uso soft usio chunusi, natural colour chotara, mrefu mng'afung'afu maji ya kunde, kenda hewani sekunde, kwao obey oysterbay masaki binti huyu mtanashati...
una miaka mingapi na upo waphuyu jamaa nakumbuka enzi nipo form one 2001 alikuwa ndio kama diamond wa bongo fleva sasa hivi
Sawa lakini aliifanya kama yake aiasee.Mzee wa busara alishirikishwa tu, Asali wa Moyo ilihit ila sio level za Mtoto wa Geti kali
Wadau wengi naona wanabishania nani kaanza kati ya Inspector na Nature lakini mimi naona ni mabishano yasiokua na maana yeyote, kwasababu uzi unamuhusu Inspector acha nimuongelee yeye....
Jamaa Alitoa nyimbo ya kwanza mwaka 1998, 'Mauzauza', akiwa na Luteni Kalama kwenye kundi la Gangwe. ...
Baada ya hapo wakatoa nyingine mwaka 2000 'Mtu Be,' kisha ndio akatoa jiwe la 'Mtoto wa Geti Kali' ndio lilimpa umaarufu mkubwa. Aliutoa wimbo huu peke yake ingawa alikuwa bado yupo kwenye kundi lake....
Album walizotoa Gangwe bob
♤Simulizi La Ufasaha(2001)
♤Nje Ndani (2002)
Pia ikumbukwe jamaa ndio wasanii wa kwanza kua na website hapa bongo..
Gangwe=hardcoreView attachment 753914
Hii cover ya album yao inanifurahisha na kunisikitisha sana jamaa wamegonga ndala tu na pozi za hatari...
We have to respect them kwakweli wameitoa game mbali sana, ndio maana huwa najisikia vibaya mtu akiwabeza hawa wakongwe wa hili game...
Yeah sure sema babu alitambaa nayo kama ya kwake vile....nakumbuka ilikuwa ikipigwa usiku wa manane redio one stereo chini ya Kwa fujo DjsMzee wa busara bila shaka ilikua nyimbo ya nature babu alishirikishwa kwenye remix tu
Amina [emoji120] ndugu tubarikiwe soteubarikiwe popote ulipo
Hichi kisa cha baba mkweeee kilichotokea huko Yanga/Asali wa Moyo na Kisa cha baba mkwe are my favorite Jams from babu!
Inspector hajawahi kuwa ktk kundi la TMK wanaume.Kabla ya hapo walikuwa family moja na Sir Nature,Mabaga fresh ya warumendago family.Yaap na hapo ndio Inspector alionekanaga mnafki maana wenzake walijitoa Tmk wanaume na kuanzisha TmK halisi yeye hakutoka mpaka wakamtungia wimbo wa Ndege Tunduni.
Those times when music was real.
Nature ni 'Chorus killer' acha avume kwa kushirikishwa. Hadi leo hii sijaona aliyeweza kumfikia kwenye chorus, ukizubaa mwenye nyimbo anapotezwa.
Nature ni 'Chorus killer' acha avume kwa kushirikishwa. Hadi leo hii sijaona aliyeweza kumfikia kwenye chorus, ukizubaa mwenye nyimbo anapotezwa.
Ya kwanza alifanya Nature na KR ikafanya vizuri kiasi, ilipoachiwa Remix ya Inspecta ile OG ikasahaulika kabisa. Ukisikia tu OHoo HOoo... (Sauti ya Inspekta[emoji16]) unajua nini kinafuatia.Yeah sure sema babu alitambaa nayo kama ya kwake vile....nakumbuka ilikuwa ikipigwa usiku wa manane redio one stereo chini ya Kwa fujo Djs
Kwa mara ya kwanza nakanyaga ardhi ya Mbagala viwanja vya Dar live ilikua sababu ya show ya Nature, aiseee kuna mjinga akatangaza eti Nature hayupo basi ilitokea bonge la fujo mpaka akapanda jukwaani kabla ya muda wake kusalimia mashabiki ndio watu wakatulia.Nature alimtupa mbali sana babu.
Nature alikuwa kifaa.alijaza siku ile anazindua UGALI