Comrade 01
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 601
- 626
Kwenye album ya kwanza umesahau ngoma inaitwa MTU BEE. Iyo ngoma wakati inalekodiwa mi nilikuwepo ndani ya studio imefanyika kwa mastar j. Na tukachukua ngoma aliyofanya na mr. Poo inatwa buzi.
Hahaha upo kama mimi bro,Nature hata akae miaka 30 bila kutoa wimbo, ubora wake uko pale pale, mimi nikikuta diamondi anafanya shoo bure mlimani city hata siwezi kusimama kumshangaa, ila sasa Nature awe dar live na hili game baba ake!!! Hatari tupu.
Anyway niko nje ya mada kdg, Ispector alisumbua kwa wakati wake ila sidhani kama aliwahi kusumbua kihivyo hadi kuwapoteza kina prof jize, dula soo, mnyalu make t, dully, TID, walikuwa level sawa tu, aliyesumbua baadae alikuwa Mr. Nice
Lol... nitamtafuta aiseeee.yupo mbagala kibulugwa
Hahahahaha Shikamoo kaka mkubwa,Dah! Shikamoo toka kwako kuja kwangu inahusika asee, kumbe mdogo hivi[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sema jamaa kachanganya mafaili...Inspector alisikika kwenye ngoma ya ndege tunduni..mi mwenyewe sikumbuki ilikuwaje mpaka akaibukia TMK wanaume Halisi..Liongo wewe, hata aibu hauna.
Inspector alikua TMK wanaume???
Ndege tunduni walimtungia Inspector????
Nature alishiriki chorus nyingi zikafanya vizuri ndio maana watu waliamini yeye ndio king wa chorus. Q Chief alipita fresh pia kwenye 'kama unataka dem' wa Mo, watu wengi walikuwa wanasema kaimba demuChorus killer alikuwa Q Chief a.k.a Savimbi,baadae nature akaja kupewa shavu zaidi na media.Kama unakumbuka nyimbo ya kwanza Q Chief kushirikishwa,ilikuwa ya kundi moja linaitwa Mzimuni family.
Chorus ni hii ya Q Chief:
Kupiga debe kwangu ilikuwa poa,
Fani ktk maisha ikaja kuniokoa
Masiga alikuwa anam- manage msanii wa kike ChemicalHivi Masiga alipotelea wapi
Alijiunga Wanaume Halisi japo hakukaa mda mrefu, Nature na wenzake baada ya kujitenga na Fella baadaye wakaamua kumtafuta na Inspekta kuunganisha nguvu wapambane na TMK ya Fella, kwenye wimbo wa tatu bila Inspekta anasema 'Pumzika pema babu kitambi....' Akimchana FellaSema jamaa kachanganya mafaili...Inspector alisikika kwenye ngoma ya ndege tunduni..mi mwenyewe sikumbuki ilikuwaje mpaka akaibukia TMK wanaume Halisi..
Nikweli mkuu nafasi ya inspector kwenye yale mashindano ilikua ni ndogoIla jamaa naye katudanganya, kwenye yale mashindano Inspector hakuwa na influence yoyote, maana kulikuwa na vichwa vinaandika hatari sio mistari yake ya kuungaunga. Watu waliokuwa tishio ni Profesa Jay, SoloThang na Afande mwenyewe
Demu mmoja ana rangi 6 ana urefu wa saiz tofauti ana maumbo 2 tofauti [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]yaani alikuwa anarudia rudia maneno tu....ila dude tamu!
!
Mtoto wa Get Mablet Mambo Zake Vibody tigty Ana mandhari ya Kimis nywele mithili ya Jenifa lopez
Baadae Kidogo
Cheki mtoto alivyojaza jazia Kafunga fungafunga Shia Guu la beer
Baadae Kidogo
Maji ya Kunde Kaenda Hewani Sekunde...
Baadae Kidogo
Chotara
Sijui Alikuwa anaimba vitu gani huyu mtu
Kweli,waliona mbali sana na pamba zao "gangwe gear" nadhani walikuwa wanasimamiwa na Sebastian MagangaWadau wengi naona wanabishania nani kaanza kati ya Inspector na Nature lakini mimi naona ni mabishano yasiokua na maana yeyote, kwasababu uzi unamuhusu Inspector acha nimuongelee yeye....
Jamaa Alitoa nyimbo ya kwanza mwaka 1998, 'Mauzauza', akiwa na Luteni Kalama kwenye kundi la Gangwe. ...
Baada ya hapo wakatoa nyingine mwaka 2000 'Mtu Be,' kisha ndio akatoa jiwe la 'Mtoto wa Geti Kali' ndio lilimpa umaarufu mkubwa. Aliutoa wimbo huu peke yake ingawa alikuwa bado yupo kwenye kundi lake....
Album walizotoa Gangwe bob
♤Simulizi La Ufasaha(2001)
♤Nje Ndani (2002)
Pia ikumbukwe jamaa ndio wasanii wa kwanza kua na website hapa bongo..
Gangwe=hardcoreView attachment 753914
Hii cover ya album yao inanifurahisha na kunisikitisha sana jamaa wamegonga ndala tu na pozi za hatari...
We have to respect them kwakweli wameitoa game mbali sana, ndio maana huwa najisikia vibaya mtu akiwabeza hawa wakongwe wa hili game...
Upo RIGHT kwa 100%!! Wana Kiumeni (TMK in general) tulikuwa tunamtegemea Nature na sio Inspector ambae by the time alishaanza kuzimika kutokana na nguvu ya TMK Wanaume ambayo ndo kwanza ilikuwa inakuja juu kwa kasi!Ila jamaa naye katudanganya, kwenye yale mashindano Inspector hakuwa na influence yoyote, maana kulikuwa na vichwa vinaandika hatari sio mistari yake ya kuungaunga. Watu waliokuwa tishio ni Profesa Jay, SoloThang na Afande mwenyewe
Aliingia kujaza nafasi tu, maana mule ndani kuna vichwa vilikuwa vinaandika kweli kama Prof Jay, SoloThang,JayMo,Afande,Mwanafalsafa,Soggy, sasa hapo angetoboaje?[emoji16], sema kwa rap katuni hakuwa na mpinzani. Nature alilalamika kwakuwa hakuingizwa kwenye mashindano, nikamshangaa aingizwe kwa mistari ipi?[emoji16][emoji16][emoji16]. Nakumbuka mwaka uliofatia walijaribu kutafuta Mkali wa Rhymes tena ila ikafeli za chini chini zilisema alipangwa mshindi washiriki wakajitoa, sema Fid alikuwa na nafasi ya kuchukua ndio alikuwa kwenye peak kwa wakati huo. Kwenye mistari yake anakwambia 'Washanitabiri watu wangu wa mtaani, mi ndio mfalme nitayefuata baada ya Suleiman...'Nikweli mkuu nafasi ya inspector kwenye yale mashindano ilikua ni ndogo
[emoji116][emoji116]Kwenye album ya kwanza umesahau ngoma inaitwa MTU BEE. Iyo ngoma wakati inalekodiwa mi nilikuwepo ndani ya studio imefanyika kwa mastar j. Na tukachukua ngoma aliyofanya na mr. Poo inatwa buzi.
[emoji121][emoji121]Wadau wengi naona wanabishania nani kaanza kati ya Inspector na Nature lakini mimi naona ni mabishano yasiokua na maana yeyote, kwasababu uzi unamuhusu Inspector acha nimuongelee yeye....
Jamaa Alitoa nyimbo ya kwanza mwaka 1998, 'Mauzauza', akiwa na Luteni Kalama kwenye kundi la Gangwe. ...
Baada ya hapo wakatoa nyingine mwaka 2000 'Mtu Be,' kisha ndio akatoa jiwe la 'Mtoto wa Geti Kali' ndio lilimpa umaarufu mkubwa. Aliutoa wimbo huu peke yake ingawa alikuwa bado yupo kwenye kundi lake....
Album walizotoa Gangwe bob
♤Simulizi La Ufasaha(2001)
♤Nje Ndani (2002)
Pia ikumbukwe jamaa ndio wasanii wa kwanza kua na website hapa bongo..
Gangwe=hardcoreView attachment 753914
Hii cover ya album yao inanifurahisha na kunisikitisha sana jamaa wamegonga ndala tu na pozi za hatari...
We have to respect them kwakweli wameitoa game mbali sana, ndio maana huwa najisikia vibaya mtu akiwabeza hawa wakongwe wa hili game...
Hiyo MTU BEE ya kitambo sana na ndio iliyowatambulisha Gangwe Mob ilitoka 1999,
"Mtu bee chelea pina"
Yule alikuwa KING haijapata kutokea!Kwa mara ya kwanza nakanyaga ardhi ya Mbagala viwanja vya Dar live ilikua sababu ya show ya Nature, aiseee kuna mjinga akatangaza eti Nature hayupo basi ilitokea bonge la fujo mpaka akapanda jukwaani kabla ya muda wake kusalimia mashabiki ndio watu wakatulia.
My fav artist of all the time.
Hata Nature asingetoboa, kumbuka Mkali wa Rhymes walikuwa wanaangalia sana kigezo cha uzito wa mashairi na sio performance tu jukwaani. Nature na Inspekta hicho kigezo hawanaUpo RIGHT kwa 100%!! Wana Kiumeni (TMK in general) tulikuwa tunamtegemea Nature na sio Inspector ambae by the time alishaanza kuzimika kutokana na nguvu ya TMK Wanaume ambayo ndo kwanza ilikuwa inakuja juu kwa kasi!
Tulimtegemea (Remember, deep inside my heart nilijua hatutoki mbele ya Darubini Kali) Nature kwa sababu, kama kumbukumbu zangu zipo sawa; shindano la Mkali wa Rhymes lilikuja muda mfupi baada ya uzinduzi wa Ugali pale Diamond Jubilee huku Sitaki Demu na Inaniuma sana zikiwa zinasumbua kitaa!
[emoji119][emoji119] Haijawahi tokea mkuuNature alimtupa mbali sana babu.
Nature alikuwa kifaa.alijaza siku ile anazindua UGALI