Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Kwenye album ya kwanza umesahau ngoma inaitwa MTU BEE. Iyo ngoma wakati inalekodiwa mi nilikuwepo ndani ya studio imefanyika kwa mastar j. Na tukachukua ngoma aliyofanya na mr. Poo inatwa buzi.

Hiyo MTU BEE ya kitambo sana na ndio iliyowatambulisha Gangwe Mob ilitoka 1999,
"Mtu bee chelea pina"
 
Nature hata akae miaka 30 bila kutoa wimbo, ubora wake uko pale pale, mimi nikikuta diamondi anafanya shoo bure mlimani city hata siwezi kusimama kumshangaa, ila sasa Nature awe dar live na hili game baba ake!!! Hatari tupu.

Anyway niko nje ya mada kdg, Ispector alisumbua kwa wakati wake ila sidhani kama aliwahi kusumbua kihivyo hadi kuwapoteza kina prof jize, dula soo, mnyalu make t, dully, TID, walikuwa level sawa tu, aliyesumbua baadae alikuwa Mr. Nice
Hahaha upo kama mimi bro,

Kwa mara ya kwanza nakanyaga ardhi ya Mbagala viwanja vya Dar live ilikua sababu ya show ya Nature, aiseee kuna mjinga akatangaza eti Nature hayupo basi ilitokea bonge la fujo mpaka akapanda jukwaani kabla ya muda wake kusalimia mashabiki ndio watu wakatulia.

My fav artist of all the time.
 
Hivi kuna mtu mwenye wimbo Wa simulizi za ufasaha Wa gangwe mobb?
 
Kuna nyimbo moja ya kibabe sana inaitwa "bunda siliga"
japo nimeisahau kidogo.

Chorus:
Bunda siliga kiatu mtu
Hima saka mpira usijitusu
Huu thubutuu
 
Liongo wewe, hata aibu hauna.
Inspector alikua TMK wanaume???
Ndege tunduni walimtungia Inspector????
Sema jamaa kachanganya mafaili...Inspector alisikika kwenye ngoma ya ndege tunduni..mi mwenyewe sikumbuki ilikuwaje mpaka akaibukia TMK wanaume Halisi..
 
Chorus killer alikuwa Q Chief a.k.a Savimbi,baadae nature akaja kupewa shavu zaidi na media.Kama unakumbuka nyimbo ya kwanza Q Chief kushirikishwa,ilikuwa ya kundi moja linaitwa Mzimuni family.

Chorus ni hii ya Q Chief:
Kupiga debe kwangu ilikuwa poa,
Fani ktk maisha ikaja kuniokoa
Nature alishiriki chorus nyingi zikafanya vizuri ndio maana watu waliamini yeye ndio king wa chorus. Q Chief alipita fresh pia kwenye 'kama unataka dem' wa Mo, watu wengi walikuwa wanasema kaimba demu
 
Ana nyimbo alitoa mwaka juzi kamshirikisha j moo bonge moja la nyimbo inaitwa january to december,humo anachambua hali ya kipato na matumizi ya mtanzania wakawaida kuanzia mwezi wa kwanza hadi wa kuminambili,kuanzia aina ya milo mpaka matanuzi.Namkubali sana jamaa anapozungumzia misosi.pia kuna nyimbo nimeisikia juzi kati sijui inaitwaje,jamaa bado ni msanii mzuri,amekosa tu management na promo

 
Sema jamaa kachanganya mafaili...Inspector alisikika kwenye ngoma ya ndege tunduni..mi mwenyewe sikumbuki ilikuwaje mpaka akaibukia TMK wanaume Halisi..
Alijiunga Wanaume Halisi japo hakukaa mda mrefu, Nature na wenzake baada ya kujitenga na Fella baadaye wakaamua kumtafuta na Inspekta kuunganisha nguvu wapambane na TMK ya Fella, kwenye wimbo wa tatu bila Inspekta anasema 'Pumzika pema babu kitambi....' Akimchana Fella
 
Ila jamaa naye katudanganya, kwenye yale mashindano Inspector hakuwa na influence yoyote, maana kulikuwa na vichwa vinaandika hatari sio mistari yake ya kuungaunga. Watu waliokuwa tishio ni Profesa Jay, SoloThang na Afande mwenyewe
Nikweli mkuu nafasi ya inspector kwenye yale mashindano ilikua ni ndogo
 
!
!
Mtoto wa Get Mablet Mambo Zake Vibody tigty Ana mandhari ya Kimis nywele mithili ya Jenifa lopez

Baadae Kidogo

Cheki mtoto alivyojaza jazia Kafunga fungafunga Shia Guu la beer

Baadae Kidogo

Maji ya Kunde Kaenda Hewani Sekunde...


Baadae Kidogo

Chotara


Sijui Alikuwa anaimba vitu gani huyu mtu
Demu mmoja ana rangi 6 ana urefu wa saiz tofauti ana maumbo 2 tofauti [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]yaani alikuwa anarudia rudia maneno tu....ila dude tamu
 
Wadau wengi naona wanabishania nani kaanza kati ya Inspector na Nature lakini mimi naona ni mabishano yasiokua na maana yeyote, kwasababu uzi unamuhusu Inspector acha nimuongelee yeye....

Jamaa Alitoa nyimbo ya kwanza mwaka 1998, 'Mauzauza', akiwa na Luteni Kalama kwenye kundi la Gangwe. ...

Baada ya hapo wakatoa nyingine mwaka 2000 'Mtu Be,' kisha ndio akatoa jiwe la 'Mtoto wa Geti Kali' ndio lilimpa umaarufu mkubwa. Aliutoa wimbo huu peke yake ingawa alikuwa bado yupo kwenye kundi lake....

Album walizotoa Gangwe bob

♤Simulizi La Ufasaha(2001)
♤Nje Ndani (2002)

Pia ikumbukwe jamaa ndio wasanii wa kwanza kua na website hapa bongo..

Gangwe=hardcoreView attachment 753914

Hii cover ya album yao inanifurahisha na kunisikitisha sana jamaa wamegonga ndala tu na pozi za hatari...

We have to respect them kwakweli wameitoa game mbali sana, ndio maana huwa najisikia vibaya mtu akiwabeza hawa wakongwe wa hili game...
Kweli,waliona mbali sana na pamba zao "gangwe gear" nadhani walikuwa wanasimamiwa na Sebastian Maganga
 
Ila jamaa naye katudanganya, kwenye yale mashindano Inspector hakuwa na influence yoyote, maana kulikuwa na vichwa vinaandika hatari sio mistari yake ya kuungaunga. Watu waliokuwa tishio ni Profesa Jay, SoloThang na Afande mwenyewe
Upo RIGHT kwa 100%!! Wana Kiumeni (TMK in general) tulikuwa tunamtegemea Nature na sio Inspector ambae by the time alishaanza kuzimika kutokana na nguvu ya TMK Wanaume ambayo ndo kwanza ilikuwa inakuja juu kwa kasi!

Tulimtegemea (Remember, deep inside my heart nilijua hatutoki mbele ya Darubini Kali) Nature kwa sababu, kama kumbukumbu zangu zipo sawa; shindano la Mkali wa Rhymes lilikuja muda mfupi baada ya uzinduzi wa Ugali pale Diamond Jubilee huku Sitaki Demu na Inaniuma sana zikiwa zinasumbua kitaa!
 
Nikweli mkuu nafasi ya inspector kwenye yale mashindano ilikua ni ndogo
Aliingia kujaza nafasi tu, maana mule ndani kuna vichwa vilikuwa vinaandika kweli kama Prof Jay, SoloThang,JayMo,Afande,Mwanafalsafa,Soggy, sasa hapo angetoboaje?[emoji16], sema kwa rap katuni hakuwa na mpinzani. Nature alilalamika kwakuwa hakuingizwa kwenye mashindano, nikamshangaa aingizwe kwa mistari ipi?[emoji16][emoji16][emoji16]. Nakumbuka mwaka uliofatia walijaribu kutafuta Mkali wa Rhymes tena ila ikafeli za chini chini zilisema alipangwa mshindi washiriki wakajitoa, sema Fid alikuwa na nafasi ya kuchukua ndio alikuwa kwenye peak kwa wakati huo. Kwenye mistari yake anakwambia 'Washanitabiri watu wangu wa mtaani, mi ndio mfalme nitayefuata baada ya Suleiman...'
 
Kwenye album ya kwanza umesahau ngoma inaitwa MTU BEE. Iyo ngoma wakati inalekodiwa mi nilikuwepo ndani ya studio imefanyika kwa mastar j. Na tukachukua ngoma aliyofanya na mr. Poo inatwa buzi.
[emoji116][emoji116]
Wadau wengi naona wanabishania nani kaanza kati ya Inspector na Nature lakini mimi naona ni mabishano yasiokua na maana yeyote, kwasababu uzi unamuhusu Inspector acha nimuongelee yeye....

Jamaa Alitoa nyimbo ya kwanza mwaka 1998, 'Mauzauza', akiwa na Luteni Kalama kwenye kundi la Gangwe. ...

Baada ya hapo wakatoa nyingine mwaka 2000 'Mtu Be,' kisha ndio akatoa jiwe la 'Mtoto wa Geti Kali' ndio lilimpa umaarufu mkubwa. Aliutoa wimbo huu peke yake ingawa alikuwa bado yupo kwenye kundi lake....

Album walizotoa Gangwe bob

♤Simulizi La Ufasaha(2001)
♤Nje Ndani (2002)

Pia ikumbukwe jamaa ndio wasanii wa kwanza kua na website hapa bongo..

Gangwe=hardcoreView attachment 753914

Hii cover ya album yao inanifurahisha na kunisikitisha sana jamaa wamegonga ndala tu na pozi za hatari...

We have to respect them kwakweli wameitoa game mbali sana, ndio maana huwa najisikia vibaya mtu akiwabeza hawa wakongwe wa hili game...
[emoji121][emoji121]
Hiyo MTU BEE ya kitambo sana na ndio iliyowatambulisha Gangwe Mob ilitoka 1999,
"Mtu bee chelea pina"
 
Kwa mara ya kwanza nakanyaga ardhi ya Mbagala viwanja vya Dar live ilikua sababu ya show ya Nature, aiseee kuna mjinga akatangaza eti Nature hayupo basi ilitokea bonge la fujo mpaka akapanda jukwaani kabla ya muda wake kusalimia mashabiki ndio watu wakatulia.

My fav artist of all the time.
Yule alikuwa KING haijapata kutokea!
Km kutamba enzi zile basi nature na wanaume tmk walitisha!ndo zetuuuuuu wanaume ndo zetuuu we ukitaka tende chukua ila babu kundu panua
 
Upo RIGHT kwa 100%!! Wana Kiumeni (TMK in general) tulikuwa tunamtegemea Nature na sio Inspector ambae by the time alishaanza kuzimika kutokana na nguvu ya TMK Wanaume ambayo ndo kwanza ilikuwa inakuja juu kwa kasi!

Tulimtegemea (Remember, deep inside my heart nilijua hatutoki mbele ya Darubini Kali) Nature kwa sababu, kama kumbukumbu zangu zipo sawa; shindano la Mkali wa Rhymes lilikuja muda mfupi baada ya uzinduzi wa Ugali pale Diamond Jubilee huku Sitaki Demu na Inaniuma sana zikiwa zinasumbua kitaa!
Hata Nature asingetoboa, kumbuka Mkali wa Rhymes walikuwa wanaangalia sana kigezo cha uzito wa mashairi na sio performance tu jukwaani. Nature na Inspekta hicho kigezo hawana
 
Back
Top Bottom