Tujikumbushe hawa watangazaji wa redio free RFA

Tujikumbushe hawa watangazaji wa redio free RFA

Wewe Shoga Nini? Maisha yangu na Yako hayalingani na yako njoo nkuajiri we Makalio wako umekuwasha umeona uccoment hapa unapakuliwa nini Acha ushoga....hii ni Jamii Forums Jina Linajieleza sasa wewe Ushoga wako unauleta hapa....pita hivi haujalazimishwa Kuccoment ni kihere here chako
sasa ww mwenye kazi unatafta nn kwa siredi ya asie na kazi
 
ila nmeamin uspoenda na mda sokoni utachuja tu,sahara media hawaendi na mda kabisa wanafkr hii n miaka ya analog

Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Wafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!

1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
Mkuu sijaona JB Juma balagaza ilA umejitahidi sana afu kulikua na mmoja jina la Baba yake alikua anaitwa mfinanga(ke) na mwingine K2 the B Kill boy Salumu sandu
 
Mimi namkumbuka Glory Robinson mtoto wa mama sabuni sauti yake ilikuwa inanikosha hatari
Mkuuu..... Alikua ananikonga sana yule mdada.....
Mtoto wa Arusha......

Sasa hivi Sijui yuko WAP.....?
Angekuja tu town kwa sauti ile bado ananafasi sana kwenye midia........
 
Mkuuu..... Alikua ananikonga sana yule mdada.....
Mtoto wa Arusha......

Sasa hivi Sijui yuko WAP.....?
Angekuja tu town kwa sauti ile bado ananafasi sana kwenye midia........
Yani alikuwa ana sauti na kicheko ikifika showtime sibanduki redioni akiwa na kidbway mwili mdogo sauti zege enzi hizo.
 
Wafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!

1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
Thanx 4 reminding those people ila Mkuu soggy dogg Na anselm ngaiza Si mtu mmoja?au ulikusudia nini mkuu?
 
Huu Uzi umenikumbusha mbali sana......

Kidbway na Kipindi chake cha Wikend fever ulikua unitoi......

Kiss Fm , Kiss FM D7, Sherry, DJ Maliz ni Balaa ile show.......

Sintosahau kilikua kinanipa wakatimgumu maana ndo mida ya Church iyo......

Nikiamka asubui nkiskia Kimziki Cha magazetini na jua nshachelewa Shule.
Apo Alikuwepo Hamis Damumbaya..........

Lawena Nsonda kutoka Makongoros Chunya......

Hi redio ilianza kupotea hewan na hata ukiipata unaipatata kwa chenga chenga baada ya kuzuka redio nyingi nyingi, nazani mwinhiliano wa mawimbi ulichangia ikapoteza wateja.
 
Huu Uzi umenikumbusha mbali sana......

Kidbway na Kipindi chake cha Wikend fever ulikua unitoi......

Kiss Fm , Kiss FM D7, Sherry, DJ Maliz ni Balaa ile show.......

Sintosahau kilikua kinanipa wakatimgumu maana ndo mida ya Church iyo......

Nikiamka asubui nkiskia Kimziki Cha magazetini na jua nshachelewa Shule.
Apo Alikuwepo Hamis Damumbaya..........

Lawena Nsonda kutoka Makongoros Chunya......

Hi redio ilianza kupotea hewan na hata ukiipata unaipatata kwa chenga chenga baada ya kuzuka redio nyingi nyingi, nazani mwinhiliano wa mawimbi ulichangia ikapoteza wateja.
D7 na sharbano yule demu naye sijui aliishia wapi....
Kid alianza zingua alipoanza mmanage husein machozi kila ngoma inatoka leo ijumaa unaikuta top ten.
akawa anagonga ngoma nying toka studio yake na kwa ambha kwakuwa ambha alikuwa kama anampa support kidbway sometimes kwenye beat na collabo baina ya wasanii wa kid na wa ambha
 
Kulikuwa na Mzee sky walker ijumaa usiku anawawekea watu beat wanapiga simu wanachana na yeye anachana humo studio.
dah that was then when blackberry and apple were fruits.... miss those dem days
 
Huu Uzi umenikumbusha mbali Sana'a wakat huo nikiwa Moshi imenibidi niwapigie washkaji tukumbushane enzi hizooo
 
Back
Top Bottom