Amrish Puri
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 274
- 379
dah roy mlaliki maganga sijui alienda wapi....kuna watu wanajua hizi fani RFA those days dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doh john karani, alikua kwenye kipindi cha sweet ragee kila siku ijumaa pale kiss fm. Nilikuwa sikosagi ichi kipindi ata iwejeDJ Chrismac Kiss FM
Stive kabuye
John karani
Boly b the pilot
D-7
Jeff Jerry
Natasha yule mzungu na
Sheiza mwingila izi zilikua number Chafu pale kiss FM
sawa sawa mkuu asante kwa kunirekebisha!We kipindi hiko uko primary.......umechanganya huyo aliitwa Vivian Tillya mpenzi wake Complex walifariki kwa ajali ya gari,Irene ni mdogo wake kaanza si muda mrefu kihivyo
Wewe Shoga Nini? Maisha yangu na Yako hayalingani na yako njoo nkuajiri we mkundu wako umekuwasha umeona uccoment hapa unapakuliwa nini Acha ushoga....hii ni Jamii Forums Jina Linajieleza sasa wewe Ushoga wako unauleta hapa....pita hivi haujalazimishwa Kuccoment ni kihere here chakoWewe uliyeanzisha hii topiki huna kazi za kufanya zaidi ya kufuatilia majina ya watangazaji? wamekusaidia nini wewe kama wewe binafsi? Unapoteza muda wako bure kwa mambo ambayo hayana faida katika maisha yako. Pole sana.
Anawashwa huyowewe nae huna kazi acha ulofa
yupo Clouds tv nowGodfrey Kusorwa "Godman"
RFA WALIKUWA VIZURI SANA Kkwa vipindi na watangazaji kipindi cha nyuma lakini sasa hivi ni majanga '' lazima wajipange kwani zamani hapakuwa na ushindanikama sasa pia watu wengi now wanatumia mitandao ya kijamii kwa kasi kubwa kiliko radionRFA ni funga kazi ..ni kiwanda kizuri sana cha kuzalisha watangazaji
Wewe Shoga Nini? Maisha yangu na Yako hayalingani na yako njoo nkuajiri we Makalio wako umekuwasha umeona uccoment hapa unapakuliwa nini Acha ushoga....hii ni Jamii Forums Jina Linajieleza sasa wewe Ushoga wako unauleta hapa....pita hivi haujalazimishwa Kuccoment ni kihere here chako
Ahsante sana Bwana mkubwa mwenye hekma na busara!!! Unalo jingine la kuongezea?wewe nae huna kazi acha ulofa
ninalo,siku nyungine acha kukosoa nyuzi zenye maana kama hizi kama huna la kusema kaa kimya waachie wengine.Ahsante sana Bwana mkubwa mwenye hekma na busara!!! Unalo jingine la kuongezea?
AKA SAUT YA SIMBA,nilikuwa namkubali sana sauti yake akikaa kipindi cha show time,alikuwa haongei neno yeye ni kopo juu ya kopo,sindano juu ya sindanoLazaro matarange
Mtu anapoanzisha mada inaweza kuwa isiwe na faida kwake likini ikawa na faida kwa wengine. hebu fuatilia reactions za watu juu ya huu uzi ndipo utagundua watu hawana shida na hawa watangazaji ila idadi ya wachangiaji wanakumbuka zaidi maisha yao ya kale. Think beyond what you said.Wewe uliyeanzisha hii topiki huna kazi za kufanya zaidi ya kufuatilia majina ya watangazaji? wamekusaidia nini wewe kama wewe binafsi? Unapoteza muda wako bure kwa mambo ambayo hayana faida katika maisha yako. Pole sana.
Ahsante sana bwana mkubwa nimekuelewa vema.ninalo,siku nyungine acha kukosoa nyuzi zenye maana kama hizi kama huna la kusema kaa kimya waachie wengine.