Ni kweli kabisa, mara ya kwanza naisikia ilikuwa mwaka 1995, dadaangu alikuwa anaiita radio FMNadhani pia ni redio mojawapo zilizoanza kurusha matangazo yake kwa FM. Sauti ilikiwa na utulivu kuliko za AM
Prince Baina Kamukulu alifariki? Aisee.KAMKURU, ALISHAFARIKI,
sasa ww mwenye kazi unatafta nn kwa siredi ya asie na kaziWewe Shoga Nini? Maisha yangu na Yako hayalingani na yako njoo nkuajiri we Makalio wako umekuwasha umeona uccoment hapa unapakuliwa nini Acha ushoga....hii ni Jamii Forums Jina Linajieleza sasa wewe Ushoga wako unauleta hapa....pita hivi haujalazimishwa Kuccoment ni kihere here chako
Anaongoza kipindi gani mkuu?, kuanzia saa ngap hdi saa ngapi manke nilikuwa namkubali asee.Samweli kiama siku hizi yupo TBC FM
Stimela kwa sasa pale TBC FM. kuanzia saa kumi hiviiAnaongoza kipindi gani mkuu?, kuanzia saa ngap hdi saa ngapi manke nilikuwa namkubali asee.
Mkuu sijaona JB Juma balagaza ilA umejitahidi sana afu kulikua na mmoja jina la Baba yake alikua anaitwa mfinanga(ke) na mwingine K2 the B Kill boy Salumu sanduWafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!
1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
Mkuuu..... Alikua ananikonga sana yule mdada.....Mimi namkumbuka Glory Robinson mtoto wa mama sabuni sauti yake ilikuwa inanikosha hatari
Yani alikuwa ana sauti na kicheko ikifika showtime sibanduki redioni akiwa na kidbway mwili mdogo sauti zege enzi hizo.Mkuuu..... Alikua ananikonga sana yule mdada.....
Mtoto wa Arusha......
Sasa hivi Sijui yuko WAP.....?
Angekuja tu town kwa sauti ile bado ananafasi sana kwenye midia........
Thanx 4 reminding those people ila Mkuu soggy dogg Na anselm ngaiza Si mtu mmoja?au ulikusudia nini mkuu?Wafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!
1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
D7 na sharbano yule demu naye sijui aliishia wapi....Huu Uzi umenikumbusha mbali sana......
Kidbway na Kipindi chake cha Wikend fever ulikua unitoi......
Kiss Fm , Kiss FM D7, Sherry, DJ Maliz ni Balaa ile show.......
Sintosahau kilikua kinanipa wakatimgumu maana ndo mida ya Church iyo......
Nikiamka asubui nkiskia Kimziki Cha magazetini na jua nshachelewa Shule.
Apo Alikuwepo Hamis Damumbaya..........
Lawena Nsonda kutoka Makongoros Chunya......
Hi redio ilianza kupotea hewan na hata ukiipata unaipatata kwa chenga chenga baada ya kuzuka redio nyingi nyingi, nazani mwinhiliano wa mawimbi ulichangia ikapoteza wateja.
Ha haha Mimi hiyo sagmeant yake nilikuwa siikosifredwaaaaa nilikuwa nasikiliza sana sindano 5 za moto