Kingdom Animalia
Member
- Jan 26, 2017
- 63
- 68
- Thread starter
-
- #81
Umeona Eeeh hii Timu haitatokea Tena ilinifanya niipende sana RFAMkuu hiyo timu uliyoitaja haitakaa itokee tena pale Sahara, walikuwa na mpngilio mzuri wa vipindi na watangazaji waliofit kwenye vipindi vyao. Tangu kipindi cha kwanza asubuhi mpaka cha mwisho usiku ulikuwa ni moto wa kuotea mbali, walijua kucheza na wasikilizaji na walipata wasikilizaji wengi sana. Nadhani kwa kipindi kile KISS FM kilikuwa ndio kituo bora cha burudani Tanzania hususani kwa wasikilizaji waliokuwa wanapenda lugha ya malkia. Mara nyingi nilikuwa naifananisha na KISS FM ya Kenya (Nairobi Fresh), jamaa walikuwa na uwezo na vipaji.
Hata ruge anapotea kdogo kdogo,cloudz ya miaka ya 2007 to 2012 imechange sana,kpnd cha watu kama akna ndege,Arnold,joooooj jokopa mkali wa kuchambua siasa na jamiimwenye uwezo wa kurudisha Hali anayoipoteza ktk tasnia ya habar n ruge somehow anatetea fan yake
dah! ebhana George Njokopa namkbali sana jamaa yko fiti kiuchambuzi na ana vocal nzuri,level yake sio tz n worldwideHata ruge anapotea kdogo kdogo,cloudz ya miaka ya 2007 to 2012 imechange sana,kpnd cha watu kama akna ndege,Arnold,joooooj jokopa mkali wa kuchambua siasa na jamii
Roy maganga yupo wapi???Wafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!
1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
Sahara imepitisha watu wengi sana na waliokuwa na majina makubwa sana. Hivi Muhksini Mambo ndiye alikuwa na a.k.a ya "SKY WALKER" ama nani?Kwa kweli unakaa unakumbuka unabaki kusikitika maana siku hizi tunaskiliza radio bhasi tu ,was very fun baadaye alikuja DJ Muhksin Mambo wa watu wa 2000s tuliruka disco lake pale Rumours club near Mwanza hotel ile club sitasahau
Sijakupata vizuri kiongozi.mwenye uwezo wa kurudisha Hali anayoipoteza ktk tasnia ya habar n ruge somehow anatetea fan yake
Hapana Muhksini Mambo alikuwa na aka yake nyingine mkuu nimehisahau bila Sky walker ni Fredrick Bundala jamaa anajua sana muziki amejificha bongo5 yaani anakuelezea kitu kwenye muziki unasema yes huyu ni mtangazajiSahara imepitisha watu wengi sana na waliokuwa na majina makubwa sana. Hivi Muhksini Mambo ndiye alikuwa na a.k.a ya "SKY WALKER" ama nani?
Okay, ni kweli umenikumbusha, Muhksin Mambo alikuwa na a.k.a MC STOPPER, kama sikosei. Wapi Kidbway???Hapana Muhksini Mambo alikuwa na aka yake nyingine mkuu nimehisahau bila Sky walker ni Fredrick Bundala jamaa anajua sana muziki amejificha bongo5 yaani anakuelezea kitu kwenye muziki unasema yes huyu ni mtangazaji
Hahaaa..jamaa anaitika Naaaaam karibu dakika nzimaAu simu ya Muhily Obare utacheka naaaaaaaaaaaaaam Niko Igoma maeneno ya watu wazito
Yes sahihi kabisa ,kidbway naye alikuwa bongo5 ila kwa sasa ametoka amehamua kusimamia Tetemesha production kwa ajili ya wasanii bila anadeal na wanao toka sana mwanza na jamaa kilichomfanya kuhama mwanza akivamiwa na jambazi 2010 hivi walimjeruhi vibaya sana nyumbani kwake kiseke so jamaa baada ya kupona aliondoka kabisa Mzee wa kibegi mgongoniOkay, ni kweli umenikumbusha, Muhksin Mambo alikuwa na a.k.a MC STOPPER, kama sikosei. Wapi Kidbway???
Steve Moyo bado yuko RFA ila kwa upande wa Dar,Deo Kaji Makomba ndo msemaji wa chama LA wana bila yuko na kampuni flan mjiniHawa wote baadhi yao walishatimka mfano Baruan Muhuza na Ivona Kamuntu wapo azam tv, Muksin Mambo yupo TV one, Fredwaa yupo clouds fm, Samadu Hassan bado yupo star tv, Steve moyo Mchonge ni msemaji wa club ya stand united shinyanga, Ahmed Kipozi alikuja kuwa dc, Neville Meena ni kiongoz kwenye jukwaa la waandishi wa habari, Godwin Gondwe ni dc now, Irene Mwakalinga yupo TBC anaripoti kutoka iringa, Paul James yupo clouds fm, Isaac Muyenjwa Gamba yupo Deuschvelle ujerumani
Ndio huyohuyoHapo sijaelewa kwani sogy dogy na anzleim ngaiza wapo tofauti si huyohuyo mtu mmoja
Nakumbuka enzi hizo unapiga simu za salamu , wakati huo hakuna airtel wala voda kuna tritel na mobitel tu.Ukute sasa Rahabu Fredy kapokea simu ya Lawena Nsonda na zile " Eh mama" zake. Ilikuwa burudani sana.
Dege la Jeshi B52 unamkumbuka?Au simu ya Muhily Obare utacheka naaaaaaaaaaaaaam Niko Igoma maeneno ya watu wazito
Ilikuwa Nouma alinunua kihiace kikawaka moto aisee..
Hahaaa..jamaa anaitika Naaaaam karibu dakika nzima
Jamaa alikuwa wa bariadiDege la Jeshi B52 unamkumbuka?
Yupo kipindi gani ila anaitwa Samweldavis Joseph Kiama!!Samweli kiama siku hizi yupo TBC FM