Bismack
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 387
- 495
Huyo ndo kashasepaNa vp Freduwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndo kashasepaNa vp Freduwaa
Hivi hii Redio itapata mtangazaji kama Ntonto, volt600,000, zuberi Msabaha?
R.I.P kaka Mungu akulaze mahali Pema binguni.
Usemavyokidboy Na Skywalker ni watu wawili tofauti
Kidbway ni Sandu George.Vp na Kidboy aka Skywalker?
sawa mkuu walokuwepo ila jiulize walihit km huyu marehem ?Kwani kabla huyo Marehemu kutangaza hapo Redio RFA na Startv hawakuwakuta waliokuwa wameshaaza kutangaza?
Sahihi kabisaKidbway ni Sandu George.
Skywalker ni Fredrick Bundara.
Kidboy unamjua?Vp na Kidboy aka Skywalker?
Kaangalie tena hiyo uliyoquote errors may occur anywhere, I've been listening RFA since 98Kidboy unamjua?
Na sky walker unamjua?
Jamani hapa naongelea wa kukiwakilisha kipindi cha bolingo time.Kidboy unamjua?
Na sky walker unamjua?
Ok mkuuKaangalie tena hiyo uliyoquote errors may occur anywhere, I've been listening RFA since 98
sawa mkuu walokuwepo ila jiulize walihit km huyu marehem ?
haha kujitiaga mkubwaaa kumbe kindaGodwin Gondwe nimemjulia ITV
Hahaha uweeee!!!nimechelewa kumjua kwa sabu kwetu umeme umechelewa kuja,yan kwa kifupi teknolojia imechelewa sana,so hakukua na redio wala Tvhaha kujitiaga mkubwaaa kumbe kinda
Yupo mawingu FM kipindi cha pbWatangazaji walikuwa poa fred waaaa yupo yupo saa hz