Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

List aliitoa 6TVU... Kwa mama mzazi wa Diana .... Kipindi hicho diana afya imeteteleka........ Mama kwa asira akawa anaonge kwa watu.....magazeti ya udaku yakazidaka.
Sasa stv akee aliitoa huku na yeye yumo au ndo kupagawa?
 
Me nasema ukweli CCM waandae fedha za mazishi ya kada wao Steve nyerere huyu jamaa mwaka huu hamalizi. Kwa hali niliyomkuta na kwa mnyong'onyeo ule hakika haponi.
Katoboa mdau tupo nae mpaka huu mwaka
 
Huu ugonjwa ni Hatari, sijui kwanini mpaka sasa hauna dawa.
Baada ya diana washaondoka wawili Aisha na Banza .
Abuu yeye alikufa kwa ajali.
Choki, stive nyerere na Hao wengine inawezekana hawana.
ARV zinasaidia
 
Back
Top Bottom