Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lilian internet? Au?
Basi tumekwisha
Na mwenzake mpakabarabara yule wa pachifu
Labda toZi alikuwa anatumia kinga mazee, maaana yeye pia ana msururu wa mademu kibao akiwemo mtoto wa Mzee mboleBu hapo patamu.Kumbe mpaka road aliutolea huku? na Pachifu si alikuwa na Tozi? Aiseeeee ni hatari.
Big up sana King Kong III huwa kwenye post zenye utata unatambaa na code vizuri sana.Kumbe mpaka road aliutolea huku? na Pachifu si alikuwa na Tozi? Aiseeeee ni hatari.
Labda toZi alikuwa anatumia kinga mazee, maaana yeye pia ana msururu wa mademu kibao akiwemo mtoto wa Mzee mboleBu hapo patamu.
Tumetoka mbali aiseeJana baada ya kusikia kifo cha banza hata mimi nilikumbuka hii habari na hiyo kauli ya marehemu Diana.
Hata hivyo wote wameshakufa, tuwaombee wapumzike pema maana hakuna jinsi tena.
Vp we hazijakuokoa?🤣Njugu zimewaokoa wengi na hii dhahama
Dah zamani sana nimekumbuka ila sijafuatia.Chanzo: Global Publishers
Hii habari ni ya 2010
List aliitoa 6TVU... Kwa mama mzazi wa Diana .... Kipindi hicho diana afya imeteteleka........ Mama kwa hasira akawa anaonge kwa watu.....magazeti ya udaku yakazidaka.Diana alifanya kitu kibaya mno kutaja fulani na fulani lazima wamfuate
Yaaani kama kitabu fulani cha tamthilia o level kikiitwa orodhaList aliitoa 6TVU... Kwa mama mzazi wa Diana .... Kipindi hicho diana afya imeteteleka........ Mama kwa asira akawa anaonge kwa watu.....magazeti ya udaku yakazidaka.