Mkuu hiyo list ni kwa uchache tu, gazeti kuna baadhi ya watu wenye status kubwa liliogoba kuwa publish, kiufupi chain hii ni kubwa sana alitaja Steve "nyenyere" mwenyewe 2008 mbele ya mzazi wa Diana (nurse amana Hosp) kipindi hicho Diana yuko hoi, nice yuko na kabula wanakula bata....
Je mnamkumbuka kapteni bonge wa "mbwinga +-" aka mgeni ameingia, Alazwe Pema peponi, inasemekana ndo chanzo according to Steve, ila gazeti never mentioned him..... Unaweza tengeneza chain nyingine from him make alikuwa mzee wa totoz.
Ngoja niishie hapa nikapime kwanza,make juzi juzi tu nimepita barabara ya vumbi wakuu.