Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Juzi tu hapa nimemuona
Lini iyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini iyo mkuu
kwa hali Ile ARV zimeshashindwa,hamna tena dawaKama anaumwa,get well soon.
Get well soon.
Nilishawahi kumuona mgonjwa wa "Ngoma" alikuwa amelala anaumwa kwa kumuangalia unaweza kusema haponi lakini hauwezi amini mpaka Leo yupo na anadunda na ukimuangalia unaweza ukasema wewe ambaye mzima ndio umeathirika yeye yupo vizuri,ni miaka kama 12 ishapita.
Don't underestimate the power of ARVKabula ameshapona na kurudi barabarani??? Si alipata ugonjwa wa akili akawa kalazwa muhimbili???
Sawa ni kweli zinasaidia sana, ndio hadi zimeponesha na ugonjwa wa akili? Au haikua ugonjwa wa akili?Don't underestimate the power of ARV
Ugonjwa wa akili ni mshtuko tu taarifa kwamba umeungua sometimes ukipata nasaha na kujikubali unapona uchiziSawa ni kweli zinasaidia sana, ndio hadi zimeponesha na ugonjwa wa akili? Au haikua ugonjwa wa akili?
Mi nilimwona Mwanza mwenzi mmoja uliopita, na juzi nimemsikia akihojiwa akasema soon atarejea Dar, bado yupo Mwanza.Kabula ameshapona na kurudi barabarani??? Si alipata ugonjwa wa akili akawa kalazwa muhimbili???
Ooh pouwaMi nilimwona Mwanza mwenzi mmoja uliopita, na juzi nimemsikia akihojiwa akasema soon atarejea Dar, bado yupo Mwanza.
si utaniDaah mungu atunusuru aingilie Kati
Steve Nyerere nae yupo kwenye orodha ya Diana?
duhhh jiji limeozaaa aisee haswaa kwa mastaaaMax-->>Mainda---->Ray---->ChuchuHans--->>>Wema-->Dimond-->
Dimond-->>Lulu-->Majamajemaji-->Mabeto
CHUZI Tuesday--->JINI K--->Mr 9C-->BUSHOKE
Na wewe utaingia mule mule.Hapana, yupo na mwenzie anakula mchemsho.
Kuna sponsa pia alikuwepo, asingekuwepo ningechukua namba.
Sawa. Mi nilikuwa napiga papuchi, ile na pump in, condom ikapasuka, nikachovya live, nikachomoa fasta , nikamwambie demu tukitoka kwanza kupima. Nilishangaa Dr. Ananinambia mwenzangu ameathirika siku nyingi tu. Nilirudia majibu baada ya miezi 3 sina tatizo,yule demu bado yupo vizuri na anafanya mambo yake kama kawaida na kugawa kwa watu wengine. Huwezi kumjua kwa kuangalia ila inaelekea kwenye game anachoka mapema. Kinga ni muhimuKama anaumwa,get well soon.
Get well soon.
Nilishawahi kumuona mgonjwa wa "Ngoma" alikuwa amelala anaumwa kwa kumuangalia unaweza kusema haponi lakini hauwezi amini mpaka Leo yupo na anadunda na ukimuangalia unaweza ukasema wewe ambaye mzima ndio umeathirika yeye yupo vizuri,ni miaka kama 12 ishapita.
Leo hii uko live sana baada ya habari kuwa Choki kalazwa Bugando