logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Aiseechoki ameshazika wife wake kwa kuugua muda mrefu na Steve alizika kichanga chake wote nadhani mwaka jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseechoki ameshazika wife wake kwa kuugua muda mrefu na Steve alizika kichanga chake wote nadhani mwaka jana
[emoji15] [emoji15]Ni ali choki, anahudumiwa kituo cha mwananyamala
Duh!!!Me nasema ukweli CCM waandae fedha za mazishi ya kada wao Steve nyerere huyu jamaa mwaka huu hamalizi. Kwa hali niliyomkuta na kwa mnyong'onyeo ule hakika haponi.
Maskini nimeona...M/ Mungu amfanyie wepesi aponeLeo hii uko live sana baada ya habari kuwa Choki kalazwa Bugando
Kwa hiyo wamebaki wangapi ili tuongezee na akina NaseebLeo hii uko live sana baada ya habari kuwa Choki kalazwa Bugando
Mwali ww unahila kaa za kwapa...kunuka pasi kidondanatamani na naseeb atoe uzi kama huu!
mjini tutahama
Natamani ma moderator hii comment waifute,kwani si kauli ya kiungwana.Kuna watu kibao wamepata UKIMWI na hawakuwa malaya ,omba sana mungu huu ugonjwa ukipite mbali wewe na kizazi chako,alafu kumbuka bado unapumua huyajui ya mbele yatakayokukumba yanaweza yakawa zaidi ya hawa waathirika wa UKIMWI.Ila Ukimwi hauui.Wanaokufa kwa Ukimwi ni wazembe wa hali ya juu.
Hujaelewa nilimaanisha niniNatamani ma moderator hii comment waifute,kwani si kauli ya kiungwana.Kuna watu kibao wamepata UKIMWI na hawakuwa malaya ,omba sana mungu huu ugonjwa ukipite mbali wewe na kizazi chako,alafu kumbuka bado unapumua huyajui ya mbele yatakayokukumba yanaweza yakawa zaidi ya hawa waathirika wa UKIMWI.
Nilitegemea hili jibu,kwani uwezo wako wakuelewa na kupamabanua jambo umeishia hapo.Umetumia kauli mbaya sana,ila kumbuka hujafa hujaumbika,hivi vitu nikumshuru mungu kama havijakukuta.Hujaelewa nilimaanisha nini
Acha dharau basi.Jenga hoja,au unadhani wote humu tunapenda kutupiana maneno mabaya ? Heshimu hata usiowajuaNilitegemea hili jibu,kwani uwezo wako wakuelewa na kupamabanua jambo umeishia hapo.Umetumia kauli mbaya sana,ila kumbuka hujafa hujaumbika,hivi vitu nikumshuru mungu kama havijakukuta.