Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

Mr. Nice naye ni kama tia maji tia maji sasa. Amebaki kulia lia tu ila kila kitu kipo wazi.
 
Ila Ukimwi hauui.Wanaokufa kwa Ukimwi ni wazembe wa hali ya juu.
 
Ila Ukimwi hauui.Wanaokufa kwa Ukimwi ni wazembe wa hali ya juu.
Natamani ma moderator hii comment waifute,kwani si kauli ya kiungwana.Kuna watu kibao wamepata UKIMWI na hawakuwa malaya ,omba sana mungu huu ugonjwa ukipite mbali wewe na kizazi chako,alafu kumbuka bado unapumua huyajui ya mbele yatakayokukumba yanaweza yakawa zaidi ya hawa waathirika wa UKIMWI.
 
Natamani ma moderator hii comment waifute,kwani si kauli ya kiungwana.Kuna watu kibao wamepata UKIMWI na hawakuwa malaya ,omba sana mungu huu ugonjwa ukipite mbali wewe na kizazi chako,alafu kumbuka bado unapumua huyajui ya mbele yatakayokukumba yanaweza yakawa zaidi ya hawa waathirika wa UKIMWI.
Hujaelewa nilimaanisha nini
 
Hujaelewa nilimaanisha nini
Nilitegemea hili jibu,kwani uwezo wako wakuelewa na kupamabanua jambo umeishia hapo.Umetumia kauli mbaya sana,ila kumbuka hujafa hujaumbika,hivi vitu nikumshuru mungu kama havijakukuta.
 
Nilitegemea hili jibu,kwani uwezo wako wakuelewa na kupamabanua jambo umeishia hapo.Umetumia kauli mbaya sana,ila kumbuka hujafa hujaumbika,hivi vitu nikumshuru mungu kama havijakukuta.
Acha dharau basi.Jenga hoja,au unadhani wote humu tunapenda kutupiana maneno mabaya ? Heshimu hata usiowajua
 
Back
Top Bottom