Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote

Acha dharau basi.Jenga hoja,au unadhani wote humu tunapenda kutupiana maneno mabaya ? Heshimu hata usiowajua
Sina dharau ila kwa hiyo kauli yako isiyokuwa ya kibinaadamu sinzuri,kwa hiyo sina haja ya kukujua wala kukuheshimu kwani humu hatujuani na sina haja ya kukujua ww kwani huna umuhimu wowote katika maisha yangu.Alafu sinaga tabia yakuzoena na watu wenye kauli kama zenu zilizojaa majivuno mpaka kwenye mambo ya kibinaadam.
 
Sina dharau ila kwa hiyo kauli yako isiyokuwa ya kibinaadamu sinzuri,kwa hiyo sina haja ya kukujua wa kukuheshimu kwa humu hatujuani na sina haja ya kukujua ww kwani huna umuhimu wowote katika maisha yangu.
Poa
 
Duh!!
Kumbe Mambo haya ni magumu hivi!!
Bongo movie wako saved na wanavyojiachia na kiongozi wao wa misiba!!
 
Huu ugonjwa ni Hatari, sijui kwanini mpaka sasa hauna dawa.
Baada ya diana washaondoka wawili Aisha na Banza .
Abuu yeye alikufa kwa ajali.
Choki, stive nyerere na Hao wengine inawezekana hawana.
sawa
 
Sawa ni kweli zinasaidia sana, ndio hadi zimeponesha na ugonjwa wa akili? Au haikua ugonjwa wa akili?
Yes, ugonjwa wa akili kwa watu wenye HIV in kawaida, usababishwa na magonjwa nyemelezi nk mfano 1. Cryptococal meningitis, 2 bacteria meningitis,3. HIV encephalitis au space occupied lesson SOL, hinyo basi mgonjwa akipewa dawa sahihi pamoja na ARV anapona kabisa ugonjwa wa akili.
 
Kwa hiyo wamebaki wangapi ili tuongezee na akina Naseeb
Mkuu hiyo list ni kwa uchache tu, gazeti kuna baadhi ya watu wenye status kubwa liliogoba kuwa publish, kiufupi chain hii ni kubwa sana alitaja Steve "nyenyere" mwenyewe 2008 mbele ya mzazi wa Diana (nurse amana Hosp) kipindi hicho Diana yuko hoi, nice yuko na kabula wanakula bata....
Je mnamkumbuka kapteni bonge wa "mbwinga +-" aka mgeni ameingia, Alazwe Pema peponi, inasemekana ndo chanzo according to Steve, ila gazeti never mentioned him..... Unaweza tengeneza chain nyingine from him make alikuwa mzee wa totoz.
Ngoja niishie hapa nikapime kwanza,make juzi juzi tu nimepita barabara ya vumbi wakuu.
 
Mkuu hiyo list ni kwa uchache tu, gazeti kuna baadhi ya watu wenye status kubwa liliogoba kuwa publish, kiufupi chain hii ni kubwa sana alitaja Steve "nyenyere" mwenyewe 2008 mbele ya mzazi wa Diana (nurse amana Hosp) kipindi hicho Diana yuko hoi, nice yuko na kabula wanakula bata....
Je mnamkumbuka kapteni bonge wa "mbwinga +-" aka mgeni ameingia, Alazwe Pema peponi, inasemekana ndo chanzo according to Steve, ila gazeti never mentioned him..... Unaweza tengeneza chain nyingine from him make alikuwa mzee wa totoz.
Ngoja niishie hapa nikapime kwanza,make juzi juzi tu nimepita barabara ya vumbi wakuu.
[emoji16][emoji16][emoji16] pole mkuu, kuepuka ngoma inabidi ugome tuu kupima
 
Wakuu kwenye hio orodha mpaka sasa wamekufa wangapi?
 
Uzi unafufuliwa tena na tena je yule bonge mwimba kwaya na ubonge ule ilikuwa inakuwaje, yule bonge ni wa mkoa wa Ruvuma, kule wangoni na wamatengo wanapenda sana ngono. Chain yake ni mchumba wa Majiz** ambaye ndoa yao imeshindikana kufungwa mpaka leo. Ila huyo mfungwa huru atakuwa hakuambukizwa na huyo aliyekuwa mmiliki wa shule ya Bakili ........... Aston Villa hawa akina Choki, Nyerere na 9ce wanaonesha wanaishi kwa ARVs hali zao mbaya, Ephraim Ki.... alikuwa nao ila kifo cha jasiri muongoza njia kilimshtua mno hadi akaaga dunia. Kwa mnaowajua kwenye chains hizo tiririkeni ........
 
Back
Top Bottom