Tujikumbushe kidogo ubabe wa Job Ndugai Bungenii

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Spika Ndugai alimshukia Zitto akaambiwa: Naweza kukunyima kabisa fursa ya kuongea bungeni, hakuna kuuliza swali, hakuna kuchangia chochote na huwezi kunifanya chochote wala kunipeleka popote. Usinichezee mimi nina faili langu Milembe.

Karibuni tuanike hapa ubabe wa kitu Ndugai
 
 
Ajitibie kwa amani zote ....na yeye atadai legacy ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…