Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
atakuwa amerudia file lake milembeKwanza tuambie alipo mjomba Yako Jobo kabla hatujaanza naye.
Kuna wakati hii nchi ilishikwa na vichaa watupuAisee!
Kama ni kweli, ilikuwaje mgonjwa akapewa dhamana ya kuongoza mhimili wa Bunge?!!!
Sema tena na tena ndugu yangu! Hakuna awamu watu waliolewa madaraka kama awamu ya tano. Watu walikuwa wanazungumza utadhani wana uwezo wa ki-Mungu. Anzie kwa yule mpwa wa Magufuli aliyekuwa UVCCM, Makonda, Ndugai mpaka kwa Magufuli mwenyewe.Madaraka ya kulevya
Aaa wapi. Wala siyo vichaa bali ni malimbukeni waliojaa upumbavu, ushamba na ukatili. Vichaa mbona tuko nao mitaani siku zote na hatuoni wakifanya mambo ya kihayawani namna ile!Kuna wakati hii nchi ilishikwa na vichaa watupu
Yupo dodoma na bungeni anatimba kama kawa!Kwanza tuambie alipo mjomba Yako Jobo kabla hatujaanza naye.
Angemtuma bodaboda akamchukulie.๐๐๐๐atakuwa amerudia file lake milembe
Anajificha kuingia mjengoni au mbona hatujamwona tangu atundike daluga๐ค.Yupo dodoma na bungeni anatimba kama kawa!
Hata aliyeongoza ule mhimili mwingine mkubwa nae alikuwa na file hospitali hiohioAisee!
Kama ni kweli, ilikuwaje mgonjwa akapewa dhamana ya kuongoza mhimili wa Bunge?!!!