Tujikumbushe ma Dj's walioinyanyua Bongo Fleva

John Dilinga alikua Anabwembwe sana. Dizaini sound effect wimbo unaimba unatoa sauti kama unaingizwa kwenye mtungi aloo. Noma sana.
Sikuhizi radio station zimepoteza mvuto asubuhi mpaka jioni unasikia makelele ya mastori ya hao washkaji wa vijiweni hakuna tena burdan kama zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…