Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
NDj Steve b
Ndi huyo huyo DJ Skills amemtaja tayari mleta uziDj Steve b
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDj Steve b
Ndi huyo huyo DJ Skills amemtaja tayari mleta uziDj Steve b
Niko Track havumi lakini..nakumbula enzi nipo advan nilikuwa namkubali saana...bado yupo ila siioni progress zake kama madj wa kisasa akina alkydDJ JD ( John Dilinga )
DJ Nicko Track
Kiss Fm na RFA ndo radio zimetuimbisha sana mziki miaka ya nyuma.Mimi ni wale waliopwnda saana bongofravour enzi za akina Nigger J (prof J)
Dj ambao niliwapenda saana
Dj nico Track
Dj skills
Dj bon venture
Dj d.white (enzi za Billz)
Dj Marriz
Dj Fred wahh
Dj John Dilinga
Miaka ya 2002 ilikuwa ni hatari saana
Dj flan wa kiss FM nimemsahau..alikuwa anapiga music pia, delux club hotel mwanza
John dilinga matloe hatari sanaJohn Dilinga alikua Anabwembwe sana. Dizaini sound effect wimbo unaimba unatoa sauti kama unaingizwa kwenye mtungi aloo. Noma sana.
Sikuhizi radio station zimepoteza mvuto asubuhi mpaka jioni unasikia makelele ya mastori ya hao washkaji wa vijiweni hakuna tena burdan kama zamani.
Huyu alikuwa anajuwa sanaDJ Rankim Ramadhani
Hawa ndo waanzilishi enzi zile Radio One ndo ilikuwa radio pendwa maana walikuwa wanasimama kama radio presenter, anyway apumzike kwa amaniHuyu alikuwa anajuwa sana
Sema mitungi tu
Ova
hapo mnakuwa hamtaki hat matangazo yakiwekwa mnanuna hatari.Usimsahau Lazaro Matarange, alikuwa akiingia ni ngoma juu ya ngoma,anakuja kuongea muda anamaliza kipindi!
Hakuwa DJ ni kama Aboubakary Sadick.MAIKI MHAGAMA, HUYU NI BABA WA DJ's, NI mtu wa kwanza kupiga muziki wa bongo fleva ( bongo hip hop) redioni, Radio one dj show, wimbo unaitwa NI MIMI, umeimbwa na Mr 2 (sugu)
Mhagama, liundi walikuwa radio presenters tuMAIKI MHAGAMA, HUYU NI BABA WA DJ's, NI mtu wa kwanza kupiga muziki wa bongo fleva ( bongo hip hop) redioni, Radio one dj show, wimbo unaitwa NI MIMI, umeimbwa na Mr 2 (sugu)
Zaidi kama producer ambaye ndio waasisi na msaada wa wasanii wengi. Upande wa dj aliacha kupiga kipindi cha Dr Beat wakati Bongo Fleva ilikuwa haipewi nafasi kubwa kwenye radio. Ni Dj maarufu na bora wa wakati woteDj Bon Love
Weee dj ommy alifariki???? Alikuwa dj mzuri sana dj show radio one aliturusha sanaDj ommy wa redio one weweeeee dj shoo ilikuwa hatari(rip my brother) na ulee wimbo ulikuwa unaimbwa hivi"wajifanya wanajua kumbe waungua jua aah dj ommy kiboko Yao redio one kiboko mamaaa dj show kiboko yaooo nehi nehi babujii batikeee babujii balaaaaa"