MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Ngoja nipate wa kumuweka ndani alafu nimuache na mtoto mmoja ili nikazitafute hela nje hukoDr unaweza piga kazi yako hiyo uliyosomea kwa mda fulani na bado ukapata mda wa kubeba box , kuchangia damu kwa malipo na kutunza wazee ,ni wewe tu ujiamulie .
Samahani Dr, ni Ku Chat.
Apo mama watoto lazima umtelekezeπNgoja nipate wa kumuweka ndani alafu nimuache na mtoto mmoja ili nikazitafute hela nje huko
Mzumbe kijanaSUA au?
Sasa kinaongelewa nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu akiwa mgeni jf anaweza dhani kinachoongelewa ni maisha ya chuo kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah noma sana
upo Pande zipi sasa, Malkia, Nordic, Hilter au Red India.
Hapo kwenye Box umenikumbusha mbali.
Naelewa kwa nini umepata hisia za kumbukumbu za Bibo na Hall 5.
Ukibeba Box hasa la industrial au care, night shift kipindi cha winter unaweza ukakumbuka hadi life la Namtumbo kwa bibi huku ukijiuliza nimekosa nini Bongo.
Pambana mwana usikate tamaa hadi kieleweke. Mungu atakusaidia utatoboa.
Ila uwe na mipango usije ukabeba Box hadi unaenda kwa sioni.
Tena nyoko haswaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Life after chuo ni nyoko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa naishi chumba namba 412 floor ya saba hall two. Wakati huo lift ilikuwa mbovu ni kupanda kwa ngazi! Nikapeleka manzi room kwangu kachoka kinoma kupanda ngazi sikutumia nguvu mana tayari ule uchovu wa ngazi ulimuweka sawa!
Sema kweli uduguuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sometimes chuo uwa na miss bata tu hila masomo yale hapana nilikuwa nikipata boom tu huyo town Samaki samaki na starpark ngoma inarudi mapema asubuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kariakoo na kuheshimiwe bila kusahau viwandani, mabarabarani na boda na bajaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas, khaaaahUNAPANGA GHETO NA VYUMBA VINGINE ZINAISHI NDOOAAA ZA VYUOOO ASUBUHI CHOONI WADADA WANAKOJOA SHAHAWA TUUUUU ASEEEEEE DAHHHHH STILL SIELEWI MAANA HATA NDOMU KUMBE ILIKUWA NGUMU KUTUMIA
π ni hatariTena nyoko haswaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
15? Wee hauko serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefanyia sana watu supplementary Kwa ujira wa 15000 Kila supp. Ila ufara mwingine [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnachekeshaa sanaa.Nyama ya foil sijawai ionja tangu niage chuo, nimekundua kumbe foil ni anasa[emoji23]
Uduguu nasikia umeolewa kibiti uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema kweli uduguuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππ Pombe ndio chanzo15? Wee hauko serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu bongo vyuoni tunajifunza matumiz tu ya fedha za uma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnachekeshaa sanaa.
UKWELIII HUUU ASEEEEEE YAAAANII DAH TENA VILE VYUMBA VYA CHOO BAFU ZA JUMUIYA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas, khaaaah