The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Huyu 👇👇jamaa anayejigamba hapa anajitambulisha kama Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo. Haina shaka kuwa alikuwa "Team Mbowe..."
View: https://youtube.com/shorts/ozPk6U2P45k?si=SZQVYkHgEETLKsf0
Jamaa alikuwa anajigamba na kujitapa kweli kuwa yeye "ndiye mpiga kura halisi" na wale wa upande ule wa Lissu ni "wapiga kelele tu..."
Hebu tumtafute tujue kwa sasa ana hali gani huko aliko baada ya Majigambo yake ku - back fire na kumla mwenyewe...
View: https://youtube.com/shorts/ozPk6U2P45k?si=SZQVYkHgEETLKsf0
Jamaa alikuwa anajigamba na kujitapa kweli kuwa yeye "ndiye mpiga kura halisi" na wale wa upande ule wa Lissu ni "wapiga kelele tu..."
Hebu tumtafute tujue kwa sasa ana hali gani huko aliko baada ya Majigambo yake ku - back fire na kumla mwenyewe...