Hahaha hatari kumbe...nilimquote Haji sku moja akiropoka hilo jina...kumbe Rage ndio muasisiHahah ni Aden Rage mkuu ndo aliwabatiza.
Matapishi fc, Chapati fc.Hedhi fc ,matopeni fc,wamchangani fcMbutembute fc,
ombaomba fc,
vyura,
ndala
Bado :Kwa kuwa mi ni mnazi wa Yanga nitayataja ya Simba tu wengine mtayataja ya Yanga.
1. Mnyama fc
2. Mikia fc.
3. Mbumbumbu fc
4. Sangoma fc ( Nasikia hii timu ilianzishwa na mganga wa kienyeji)
5. Madela fc
6. Underdog fc
7. Malalamiko Fc
8. Mezani fc
9. Fifa fc.
10.....
Hili ndo jina lao kubwa ulilokuwa umesahauBila.kusahau Bi Hindu fc.
Mezani na FIFA FC pia yanawafaa sanaMikia FC na Mbumbumbu limekaa vizuri sana hilo.