magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Kwa kuwa mi ni mnazi wa Yanga nitayataja ya Simba tu wengine mtayataja ya Yanga.
1. Mnyama fc
2. Mikia fc.
3. Mbumbumbu fc
4. Sangoma fc ( Nasikia hii timu ilianzishwa na mganga wa kienyeji)
5. Madela fc
6. Underdog fc
7. Malalamiko Fc
8. Mezani fc
9. Fifa fc.
10.....
1. Mnyama fc
2. Mikia fc.
3. Mbumbumbu fc
4. Sangoma fc ( Nasikia hii timu ilianzishwa na mganga wa kienyeji)
5. Madela fc
6. Underdog fc
7. Malalamiko Fc
8. Mezani fc
9. Fifa fc.
10.....