Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

kuna wale walifukuzwa bungeni miaka ya 60 kwa kubisha hoja za serikali waziwazi.. Nimewasahau ila walikuwa argumentative mbaya sana! Marxism wa ukweli. Mwenye kukumbuka majina awataje tafadhali!

Joseph Kaselabantu
 

Alhaj Omar Muhaji - Tanga
Richard Saimora Wambura (MB) - Katibu wa Mkoa Mbeya
Daudi Mwakawago - Iringa Vijijini
Edward Moringe Sokoine - Monduli
Corona Busongo - Mwanza
Joseph K. Nyerere - Mbunge wa Taifa Mkoa wa Mara
Alfred Tandau - Mbinga
John S. Malecela
 
Kanal ayubu kimbau mafia tuntemeke Sanga makete crisant mzindakaya sumbawanga adin'goka kinondoni semindu power morogoro Aron chiduo kilosa
 
Hawa siwezi kuwasahau
1. Kutyangatyanga Mpunguti Kwibalanga Mikongo----------------Songea
2. Mufwala maghoha Ulanziwa Ng'ombe Kibaasa--------Iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…