Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
Dr Ngunangwa
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w
Hivi huyu Lepilei Ole Molomeit si ndio yule alikashifiwa kwenye kampeni na mpinzani wake enzi za chama kimoja kwamba hakutahiriwa? Akashinda kesi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gutram Itatiro
Semindu Pawa
Tuntemeke Sanga
Amrani Mayagila
Aman Kabourou
Njelu Kasaka
Mbeteho Mbe
Mateo Qaresi
Philip Marmo
Martha Wejja
Capt. Ukiwaona Ditopile Mzuzuri
Marcel Komanya
Prof. John Machunda
Herman Kirigini
Adam Sapi Mkwawa
Othman Said Janguo
Erasto Mang'enya
Chadiel Mgonja

Waliotangulia wote RIP
 
Leons Ngalai wazee wa kuiondoa shilingi hadim kieleweke. Ntukamazima (Ngara)
 
Sukwa Said Sukwa,
Emmanuel Bitakwese Rutaraka,
Samwel Ntambala Ruhangisa (ndivyo nawathindaga mimi)
 
Back
Top Bottom