Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w

Misigalo TABORA ndiye aliyeanzisha kutoa shilingi kwenye baudget
Bakampenja ni kati ya wabubge wa bukoba kukataa kuhamia kwenye vijiji vya ujamaa
Zimbihile alikuwa anaongea zaidi ya lugha kumi mojawapo ni kijerumani
Ndimara Tegambwage mwandishi wa habari ambaye ashikiki kwa uhodari wake wa kuandika
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w

Austin Shaba- Mtwara Mjini
Edgar Maokola Majogo
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngw’anangw’alu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaang’w


Kwa kuongezea pia kulikuwa na:

Ibrahim Kaduma - (Taifa)
Balozi Nicholas Kuhanga - (Taifa)
Agustine Mwingira
Seif Bakari
Bhoke Munanka
Peter Kisumo
Wilbert Chagula
Frederick Nteminyanda Fumbuka - (Shinyanga Mjini)
Mujengi Mange Gwao - (Singida Vijijini)
Anna Kabati -(Kuteuliwa)
Filbert Bashiganye Kapunda - (Magu)
Ali Mwinyigogo
Balozi Mustafa Nyang'a nyi -(Kondoa)
Major General(rtd) Mrisho Sarakikya - (Meru)
Simenti Constantine Shillingi - (Maswa)
David Bakanyoma Simeo Zimbihile -(Muleba)
 
Ilikuwa ni G55 na sio G48. waliongozwana Njelu Kasaka wakati huo Mhe. Sitta alikuwa ni waziri wa Sheria akipambana moja kwa moja na G55 na alisaidiwa na Mhe. Damian Lubuva aliyekuwa AG

Mawazo huru ya kwanza kuirudisha Tanganyika yetu yalianzishwa na G55!Wabunge mahiri kama vile Jared Ghachocha;Francis Mwaduma;Kuwayawaya S Kuwayawaya na Lumuli Kasyupa walitishwa na Mwl Nyerere kuwa wasipo ondoa hoja ya Utanganyika mezani tusije kulaumiana baadae!

Huwa namtembelea mara kwa mara Mzee Lumuli Kasyupa kijijini kwake Ndandalo!Mzee huyu aliyewahi kuwa Naibu waziri wa Kilimo kwenye utawala wa Nyerere ana mengi sana ya kutufunza
 
Baadhi yao walituletea G55;Kikosi kazi ndani ya Bunge kilichosema wazi bila kuminya maneno kuwa Muungano wa Tanganyika na ZNZ una kasoro kubwa!

Wabunge wengine wa zamani ni:

Isakwisa Mwambulukutu(Rungwe)
Mwanansao(Nkasi)
Paul Rupia(Ukonga)
Joachim Simpasa(Mbozi)
Kalinga(Ileje)
Malaki Lupondeje(Magu)
Omary Kwaang'(Babati)
Mwaduma(Iringa mjini)

Ukiondoa hao waliosema Muungano una matatizo bila kung'ata maneno, naambiwa kuna wabunge fulani walisema kusini ijitenge, sina uhakika sana. Ila yafaa tuseme hapa kuwa kupishana fikra bungeni kulikuwepo tangu enzi za mfumo wa chama kimoja.
 
Enzi hizo mawaziri hawakuwa na majibu ya kipuuzi kama wa sasa eti serikali inatarajia,,,,,kulikuwepo na dead line.....vinginevyo shilingi moja ilikuwa inachomolewa kwenye bajeti na kuirudisha ilikuwa shughuli......bunge la zamani lilikuwa na utamu wake
 
Mujuni Kataraiya,huyu alikua mbunge wa bukoba mjini,baadae mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza.sasa hivi ni hohehahe,analelewa na ndugu zake,huwezi kuamini kama ni yeye
 
Back
Top Bottom