Tujikumbushe mastaa wa Bongo ambao hawapikiki chungu kimoja

Juzi walikuwa wote kwenye freshers party. ( F. A na Jide)
 
Katika sakata lao chanzo/sababu ni baada ya Kiba kumtafunia Mondi dada yake (Queen Darlin) na baadae kumtafunia Demu wake Wema Sepetu (Mama huruma)
Huyo Queen Darlin si ni Mzazi mwenzake Abbyskills ambaye ni Rafiki wa Kiba sasa atamtafunaje tena hiyo si itakuwa roho mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…