Tujikumbushe mastaa wa Bongo ambao hawapikiki chungu kimoja

Katika sakata lao chanzo/sababu ni baada ya Kiba kumtafunia Mondi dada yake (Queen Darlin) na baadae kumtafunia Demu wake Wema Sepetu (Mama huruma)
Sasa kiba si ndo alimtoa queen darlin,enzi hizo hata kaka ake hafikiliwi,kwann asiliwe???
 
Kumbukumbu zangu zinaonyesha Queen darlin ni wa kitambo kuliko hata kiba tangu enzi za duli na wimbo wa historia ya kweli
True.... kikongwe katika game.

Japo kusema Kiba ndio kamtoa ni sahihi coz kipindi anaitikia nyimbo za Dully hakuna mtu alikua anamjua wala kumfatilia mpaka alipotoa wimbo na Kiba ndio hapo watu wakaanza kumjua na kumfatilia.
 
Kumbukumbu zangu zinaonyesha Queen darlin ni wa kitambo kuliko hata kiba tangu enzi za duli na wimbo wa historia ya kweli

Ni kweli Queen Darlin wa kitambo sana ni mdada wa mwanzo mwanzo kbs kushirikishwa kwenye viitikio toka Julieta ya dully hadi geti kali ya Inspeta kipindi hicho huyo kiba sijui alikua wapi..
 
True.... kikongwe katika game.

Japo kusema Kiba ndio kamtoa ni sahihi coz kipindi anaitikia nyimbo za Dully hakuna mtu alikua anamjua wala kumfatilia mpaka alipotoa wimbo na Kiba ndio hapo watu wakaanza kumjua na kumfatilia.

Wewe ndio ulikua humjui..
 
They got no bifu anymore
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…