mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
Sasa kiba si ndo alimtoa queen darlin,enzi hizo hata kaka ake hafikiliwi,kwann asiliwe???Katika sakata lao chanzo/sababu ni baada ya Kiba kumtafunia Mondi dada yake (Queen Darlin) na baadae kumtafunia Demu wake Wema Sepetu (Mama huruma)