Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
nyamidela
mkunungu
mkalifya
kihana
nyalulenga
Nyela ukishushia na ka mkangafu ludodo, hata ka baridi ka indiuka hukasikii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyamidela
mkunungu
mkalifya
kihana
nyalulenga
ha ha haaaa, wakunyumba nimefurahi kuongeza idadi, lolloooh!! wakunyumba....wale wa Ziwani Nyasa wanakula:
Ntegheya a.k.a kisamvu
Nanyongu..a.k.a mboga maboga
umeona eeh! tena uwe ugali wa mayao...... hadi waje wakutoe kwenye mpasa maana hakuna kushiba.Uyoga unaitwa ulelema, namgujulu mboga ya manyonyoli, ukichanganya na sabola(pilipili) dah ugali hata uwe debe unakwenda
uko juu mnoo! hahahahahumeona eeh! tena uwe ugali wa mayao...... hadi waje wakutoe kwenye mpasa maana hakuna kushiba.
ulelema ni aina ya ngowani (uyoga), kuna pia unguyugu, .....du, majina yamekimbia, ha haaa
umeona eeh! tena uwe ugali wa mayao...... hadi waje wakutoe kwenye mpasa maana hakuna kushiba.
ulelema ni aina ya ngowani (uyoga), kuna pia unguyugu, .....du, majina yamekimbia, ha haaa
Tanzania yangu naipenda sana jamani. Hapo kwenye red ndiyo nini? Msaada tafadhari.lunopo
nyahalage
sanyandwa
delega
nyakatoliki
Nyela ukishushia na ka mkangafu ludodo, hata ka baridi ka indiuka hukasikii
FP I salute you.umeona eeh! tena uwe ugali wa mayao...... hadi waje wakutoe kwenye mpasa maana hakuna kushiba.
ulelema ni aina ya ngowani (uyoga), kuna pia unguyugu, .....du, majina yamekimbia, ha haaa
Wilayani kwetu (Mbarali-Mbeya) tuna kula mboga za majani zenye majina yafuatayo:
1.Nyanganji
2.Nyaheji
3.Nyundurwa
4.Fwiwi
5.Nyamabomba
6.Nyakunde
7.Nyalande.
8.Nyamadela.
9.Magulumelu
10.Nyasandwa
umeona eeh!FP I salute you.
Huwezi tamani kuhama Tanzania. Jamani kweli nyumbani ni nyumbani hataka kama ni pangoni.[/QUOTE
kat ya sehemu niliiiizowahi ishi nika enjoy na sasa natamani nirudi ni Iringa
umeona eeh!
asante kwa salute, lol!
Kwetu tunakula liponda
lilende
wida
ntandashi
amatwi gha maribhwa a.k.a kisamvu
Ighisokoro
Inkurwaa
Ichinkunyinyi
Ikereema