DuuhKiranja wa maovu yote alikuwa ni Makonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhKiranja wa maovu yote alikuwa ni Makonda
Ni wachina mkuu.Hawa akina Aloyce Nyanda na Odembo ni Watanzani?
🤣🤣🤣sawaNi wachina mkuu.
Kila Mbwa ana siku yake.Wananchi wameteswa sn na hawa vijana aisee.Sijui kwanini Bashite amepona mkono wa chuma
Mkuu JokaKuu , thanks for this. Japo siungi mkono matendo maovu ya Sabaya, ila ukimsikiliza Sabaya has good convincing power, siungi mkono jinsi alivyotendwa, wakati wa JPM kuna maovu mengi yametendwa ikiwemo kumpoteza Ben Saanane, Azory Gwanda, Lwijabe, Alfonsi Mawazo, shambulio la Tundu Lissu, naamini wote waliofanya haya wanafahamika, why Sabaya pekee?. Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, kila mtu atalipwa kwa matendo yake, hivyo tukiamua kubanana na waovu hawa, tubanane na wote na sio kuchagua wa kubanana huku wengine waliotoa roho za watu wakiachwa!. Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
#freesabaya
P
[emoji23] [emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]sio sabaya tena ni saa baya
Mwendakuzimu Jiwe ndio alikuwa Mastermind wa hayo yote, Karma is a bitch, Korona ikatembea naeMkuu JokaKuu , thanks for this. Japo siungi mkono matendo maovu ya Sabaya, ila ukimsikiliza Sabaya has good convincing power, siungi mkono jinsi alivyotendwa, wakati wa JPM kuna maovu mengi yametendwa ikiwemo kumpoteza Ben Saanane, Azory Gwanda, Lwijabe, Alfonsi Mawazo, shambulio la Tundu Lissu, naamini wote waliofanya haya wanafahamika, why Sabaya pekee?. Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, kila mtu atalipwa kwa matendo yake, hivyo tukiamua kubanana na waovu hawa, tubanane na wote na sio kuchagua wa kubanana huku wengine waliotoa roho za watu wakiachwa!. Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
#freesabaya
P
General Sabaya, sijawahi ona General mwenye makalio makubwa Kama ya Sabaya.
Duh!.. yaani aachiwe huru kisa kuna waovu wengine wapo huru ?...too lowMkuu JokaKuu , thanks for this. Japo siungi mkono matendo maovu ya Sabaya, ila ukimsikiliza Sabaya has good convincing power, siungi mkono jinsi alivyotendwa, wakati wa JPM kuna maovu mengi yametendwa ikiwemo kumpoteza Ben Saanane, Azory Gwanda, Lwijabe, Alfonsi Mawazo, shambulio la Tundu Lissu, naamini wote waliofanya haya wanafahamika, why Sabaya pekee?. Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma, kila mtu atalipwa kwa matendo yake, hivyo tukiamua kubanana na waovu hawa, tubanane na wote na sio kuchagua wa kubanana huku wengine waliotoa roho za watu wakiachwa!. Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
#freesabaya
P
Yule Genetic Modified General (GMG)?Mtoto wa m7. Muhoozi kainerugaba unamjua??