Tujikumbushe moja ya matukio ya kusisimua World Cup 1998

Mahaba tu. Hilo shoot alilopiga Carlos halifikii lile alilopiga Sunday Oliseh dhidi ya Spain. Japo mazingira ni tofauti.
Sunday Oliseh alitandika mpira uliokuwa rebound sisi tunaita lose ball, karibu mita 35. Mkwaju wa maana. Mkwaju uliowapa Nigeria ushindi wa 3-2.

Mwenye uwezo wa kuattach anaweza kuweka hapa tukalinganisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yule mtu alikua ni shujaa asiyeimbwa, jamaa ana mi control kama yote
 
Kabla ya michuano kuanza kitaa Mimi na wanangu tulikuwa tuna madaftari yamejaa picha za wachezaji Wa nchi mbalimbali. Na ilikuwa ukipata picha Kali unalingishia kichizi kwa wenzako. Mfano nlikuwaga na mipicha ya kutisha ya kina Davor suker,George Haggi, Gabriel Batistuta, Ariel Otega, Diego Simione, Michael Owen, Jay jay Okocha, Rashid Yekin,Daniel Amokachi, Alessandro Del Piero, Giafranco Zola,Carel Pobosky, Pavel Nedvid,David Beckham, Jugen Klinsman, nk
 
Nedved...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ambayo na ikumbuka nailiniuma n Paraguay vs France,,,,daaa Paraguay wanafungwa dakika ya extra time dakika ya 127 na Laurent blanc,,,,goalkeeper wao chiravet ile mechi nilitaman iende kwenye matuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nilitaka kuzungumzia hili hili goli jamaa alipiga mpira toka katikati na kitu kikaitika da ilikua balaaa siku ile sitakuja kusahau
 
Alafu utakuta kuna wahuni wanakua wanaliwinda sana daftari wakuibie picha zako
 
Kile kichwa cha KLUIVERT jamani nusu fainali against BRAZIL......ilikuwa balaa
KLUIVERT alikua ana mbinu yake mpira wa kona ukipigwa yeye haruki wakati wenzake wanaruka ile wakitua chini yeye ndio ananyanyuka anakutana na mpira kitu nyavuni yule jamaa alikua mbaya sana kila kona ikipigwa anapata goli ha ha ha ha ha ha
 
Mkuu yule mtu alikua ni shujaa asiyeimbwa, jamaa ana mi control kama yote

Nilikuwa nafurahi saana kumtizama

Kama sikosei msimu wa 97/98 aliweka rekodi kwenye goli bora la mwezi siukumbuki vizuri ule mwezi! Ila magoli yake matatu aliyofunga mwezi huo yoote yalikamata nafasi ya kwanza, ya pili na ya 3.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoe credit mnapokopi kazi za watu ..... Yaani umeichukua kama ilivyo kwa @zakazakazi insta
 
Shuti la Oliseh lilikuwa limenyooka ...tofauti na hili acha upan africanism
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…