Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli au?Hatari, nasikia huyo jamaa alipigiwa simu na tajiri aliyekuwa kwenye meli kwamba huyo tajiri alikuwa na million 80 na ambaye angemuokoa angechukuwaa hizo pesa. Ndo jamaa wakapagawa wakabeba mitungi ya gesi wakaenda kutoboa ili wamtoe tajiri wapate pesa. Ttizo lilikuwa elimu maana walisombwa wote kungizwa kwenye meli maana maji yaliingia kwa pressure kali nao wakafa.
Pole sanaHii ajali ilibadili kabisa mwelekeo WA maisha yangu maana nilimpoteza baba yangu kipenzi, yeye ndo alikuwa kila kitu katika kulea familia hivyo baada ya ajali kila kitu kikasimama ghafla. Shukrani kwa mama yetu aliyeweza kusimama kidete na kutupa nuru mpya.
Tena mwezi wa tano ndo form six inaisha poleni sanakiliniuma sana wale wanafunzi wasichana wa Rugabwa waliokuwa wamemaliza kidato cha sita wote waliteketea; walivyoona sasa wanakufa walishikana wote kuagana kwa safari ya milele - too sad.
pole sanaHii ajali ilibadili kabisa mwelekeo WA maisha yangu maana nilimpoteza baba yangu kipenzi, yeye ndo alikuwa kila kitu katika kulea familia hivyo baada ya ajali kila kitu kikasimama ghafla. Shukrani kwa mama yetu aliyeweza kusimama kidete na kutupa nuru mpya.
Asante,ndo kazi ya Mungu haina makosa.pole sana
waliopanda meli ile alinusurika mwanafunzi mmoja tukiliniuma sana wale wanafunzi wasichana wa Rugabwa waliokuwa wamemaliza kidato cha sita wote waliteketea; walivyoona sasa wanakufa walishikana wote kuagana kwa safari ya milele - too sad.
ni kweliHii ni kweli au?
Hatari, nasikia huyo jamaa alipigiwa simu na tajiri aliyekuwa kwenye meli kwamba huyo tajiri alikuwa na million 80 na ambaye angemuokoa angechukuwaa hizo pesa. Ndo jamaa wakapagawa wakabeba mitungi ya gesi wakaenda kutoboa ili wamtoe tajiri wapate pesa. Ttizo lilikuwa elimu maana walisombwa wote kungizwa kwenye meli maana maji yaliingia kwa pressure kali nao wakafa.
Tatizo ni kwamba, ilitumika akili ndogo za wanasiasa in attempt to rescue the victims, they refused to heed to professional advise.Kweli kuna kitu hakipo sawa na sehemu ilipozamia km 30 toka bandarini ukiangalia ni chini ya m 10 kwa mujibu ya hivyo vipimo.....inamaana ilizama sehemu ambayo yenyewe ni ndefu kuliko kina?
83mHivi ziwa Victoria lina urefu wa mita 80 kwenda chini, kwa nini wasingeitoa hiyo meli iendelee kupiga kazi??
Duh, story yako imefanana na Ya mshkaji wangu sana, na yeye Mzee wake ilimkosakosa hivyo hivyo kwasababu ya kujaa!Hii ilimkosakosa baba yangu mpenzi, nakumbuka siku hiyo alienda bandari ya bk kupanda hii meli kwa safari ya Mwanza......... na ilikua dingi akisafiri ni full shangwe nyumbani mixer kujiachia sana kwa makelele, ghafla tunasikia mtu anakohoa chumbani ile kuchungulia ni mshua kalala na hatukujua karudi saa ngapi jioni ile. Baadae akatuambia kwa masikitiko kwamba meli imejaa sana hivo hakupata usafiri. Kesho yake yakawa haya........
Hapana siyo hii...Mkuu hii meli ndo wanasemaga muwa uliizamisha si ndo hii mkuu
Mkuu hii meli ndo wanasemaga muwa uliizamisha si ndo hii mkuu