Tujikumbushe: Mwana FA aiombea Yanga nafasi kucheza Super League, Yanga yalalamika kutoalikwa mkutano wa CAF Arusha

Tujikumbushe: Mwana FA aiombea Yanga nafasi kucheza Super League, Yanga yalalamika kutoalikwa mkutano wa CAF Arusha

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
1693823414753.png




1693824315373.png
 
Kucheza supercup kuna vigezo maalum(points) inabidi uwe umekizi ili uchaguliwe.


Sasa waziri kuiombea yanga ishiriki ni ujinga wa hali ya juu .

Pili , Yanga ialikwe katika mkutano wa CAF kwa kigezo kipi?
 
Wako busy kuiponda AFL...mlikua mnaomba nini?
 
Back
Top Bottom