Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
Namkumbuka Marehemu Dominik Chirambo alivyokuwa anawapamba hao jamaa wana tupwisaa lindanda ilikuwa burudaaani...
Namkumbuka Loketo sijui jina lake
ally malilo
Asante, jamaa alikuwa fundi balaa
huyo namba 12 noma hadi akaitwa bruce lee!!!7. Twaha hamidu "noriega" - simba
8. Ezeckiel grayson " jujuman"- simba
9. Malota soma "balljugler" -simba
10. Samli ayubu "beki msatarabu" majimaji
11. Madaraka seremani "mzee wa kiminyio" simba
12. Daudi salum " brucelee"- simba
13. Victor coasta "nyumba" simba
14. Saidi swedi "scud" - yanga
15 zamoyoni mogela "Golden boy" - SIMBA
17. Saidi Mrisho "ZIKO WA KILOSA"- Plisner
18 Frenk Kasanga " Bwalia" - Nyota Nyekundu
Nakumbuka wakikutana kati ya Frenk kasanga na Ziko wa klosa ilikuwa RAHA