Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

270139_10150390672129498_673909497_10026318_5678922_n.jpg
Pamba ya Mwanza?
 
Mohamed Kajole ´ Machela´
Athman Maulid ´big man´
Athman Juma Chama `Jogoo´
Madaraka Seleman ´Kiminyio´
Malota Soma ´Ball jaggler´
Mohamed Yahya´´ Tostao´

George Magere Masatu......
Hussein Aman Masha.....
Lila Shomari....
Thuweni Ally...

 
DHL-zamoyoni waqt kaenda yanga afrika

Hiyo DHL ilifanya vizuri sana walipocheza na timu nyingine,
lakini walipokutana na Simba ilitema mzigo baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Rashid Abdallah Magongo.
 
7. Twaha hamidu "noriega" - simba
8. Ezeckiel grayson " jujuman"- simba
9. Malota soma "balljugler" -simba
10. Samli ayubu "beki msatarabu" majimaji
11. Madaraka seremani "mzee wa kiminyio" simba
12. Daudi salum " brucelee"- simba
13. Victor coasta "nyumba" simba
14. Saidi swedi "scud" - yanga
15 zamoyoni mogela "Golden boy" - SIMBA
17. Saidi Mrisho "ZIKO WA KILOSA"- Plisner
18 Frenk Kasanga " Bwalia" - Nyota Nyekundu

Nakumbuka wakikutana kati ya Frenk kasanga na Ziko wa klosa ilikuwa RAHA
we lazima utakuwa 'lishabiki la simba' toa huyo hapo namba 14
 
Raphael John- RP SSC
Nyani ngabu:minziro aliitwa shemeji au majeshi au baba isaya.
kitwana selemani-valment
Anaitwa Fred Felix 'Minziro'. Nina wasi wasi na hili jina la Minziro, huyu jamaa alijiunga na Yanga B wakati wa vita ya Uganda imekolea na kwa kuwa alitokea Bukoba ule Msitu wa Minziro ulitajwatajwa saana wakati ule Wahaya walipokimbilia msituni basi nae akapewa hilo jina. Kama Charles Hillary yupo anaweza kutudadavulia
 
Back
Top Bottom