Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumanne Hassan 'Masiment' alikuwa sentafowadi wa Simba miaka ya 80.
Vv
Hivi Fred Felix Minziro hakuwa na nickname?
Steven Nemes je?
Pamba ya Mwanza?
Jumanne Hasan MasimentiEbu nikumbusheni: Masimenti alikuwa mchezaji gani na wa timu gani?
hakika uko sawaHamis Gaga ndio alikua Gagarino?
DHL-zamoyoni waqt kaenda yanga afrika
Jumanne masimenti SSCEbu nikumbusheni: Masimenti alikuwa mchezaji gani na wa timu gani?
we lazima utakuwa 'lishabiki la simba' toa huyo hapo namba 147. Twaha hamidu "noriega" - simba
8. Ezeckiel grayson " jujuman"- simba
9. Malota soma "balljugler" -simba
10. Samli ayubu "beki msatarabu" majimaji
11. Madaraka seremani "mzee wa kiminyio" simba
12. Daudi salum " brucelee"- simba
13. Victor coasta "nyumba" simba
14. Saidi swedi "scud" - yanga
15 zamoyoni mogela "Golden boy" - SIMBA
17. Saidi Mrisho "ZIKO WA KILOSA"- Plisner
18 Frenk Kasanga " Bwalia" - Nyota Nyekundu
Nakumbuka wakikutana kati ya Frenk kasanga na Ziko wa klosa ilikuwa RAHA
Anaitwa Fred Felix 'Minziro'. Nina wasi wasi na hili jina la Minziro, huyu jamaa alijiunga na Yanga B wakati wa vita ya Uganda imekolea na kwa kuwa alitokea Bukoba ule Msitu wa Minziro ulitajwatajwa saana wakati ule Wahaya walipokimbilia msituni basi nae akapewa hilo jina. Kama Charles Hillary yupo anaweza kutudadavuliaNyani ngabu:minziro aliitwa shemeji au majeshi au baba isaya.
kitwana selemani-valment