momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Kwa mwenye ufahamu zaidi huyu Jobe Ayubu "kwasakwasa hili Jina kwasakwasa lilitoka wapi hasa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muziki wa kikongo, nae alikuwa anawahenyesha washambuliaji.Kwa mwenye ufahamu zaidi huyu Jobe Ayubu "kwasakwasa hili Jina kwasakwasa lilitoka wapi hasa!!!
Nimekubali wazee7. Twaha hamidu "noriega" - simba
8. Ezeckiel grayson " jujuman"- simba
9. Malota soma "balljugler" -simba
10. Samli ayubu "beki msatarabu" majimaji
11. Madaraka seremani "mzee wa kiminyio" simba
12. Daudi salum " brucelee"- simba
13. Victor coasta "nyumba" simba
14. Saidi swedi "scud" - yanga
15 zamoyoni mogela "Golden boy" - SIMBA
17. Saidi Mrisho "ZIKO WA KILOSA"- Plisner
18 Frenk Kasanga " Bwalia" - Nyota Nyekundu
Nakumbuka wakikutana kati ya Frenk kasanga na Ziko wa klosa ilikuwa RAHA
Naanza na hawa wafuatao;
1.Sunday Manara 'Computer'
2.Kitwana Manara 'Popat'
3.Omary Hussein 'Keegan'
4.Thomas Kipese 'Anko Thom'
5.Steven Mapunda 'Garrincha'
6.Abdi Kasim 'Ballack wa Unguja'
7Haruna Moshi 'Boban'
Endelea na wewe...
15.Salum Kabunda 'Ninja'
16.Juma Pondamali 'Mensah'
1.Method Mogella....Fundi
2.Edward Chumila...Eddo
1.Makumbi Juma...homa ya jiji
2.Kelvin Yondan...Vidic
3.Nadir Haroub...Canavaro
4.Said Mwamba...Kizota
5.Mohamed Mwameja. Tone
6.Hamis Gaga...Gagarino
7.John Boko Adebayo
8.Mao Mkami...ball dancer
9.Jamuhuri Kiwelu...Julio
Ally Yusuph "Tigana"
Razak Yusuph " Careca"
Said Sued "Scud"
Mohamed Mwameja " TZ one"
Itutu Kigi "Master"
Method Mogella "Kiraka"
Salumu Kabunda "Ninja"
Rajabu risasi-mbu
mohamed kajole-machela
mohamed yahya-tostao
juma limonga-stop engine
Charles mgodo-kijiko
ally yusuph-Shilton
Salvatory edward "polisi"
James tungaraza"bolizozo"
Haruna niyonzima"fabregas"
Sanifu Lazaro ''Tingisha''
Maalim Salehe ''Romario''
Haruna Moshi ''Boban''
Bakari Malima ''Jembe Ulaya''
Nonda Shaban ''Papii''
Mwanamtwa Kiwhelu ''Dali Kimoko''
Edward Chumila ''Eddo Boy''
Makumbi Juma ''Homa ya Jiji''
Mohamed Hussein ''Mmachinga au Chinga One''
George Lukas ''Gaza'
Hakuna nickname hapo, hayo majina yake kamiliAlj mayai tembele
Daud kufakunoga lilikuwa jina lake sio la a.k.a.Kufa kunoga
Gagarino
Shedrack Nsajigwa ...fusoYusuf Macho ''Fuso''
Damian Kimti'Kimti' alikuwa ni nani vile?
Duh, hivi hawa ni wacheza soka? Ugonjwa wa siasa ni hatari sana.Edward lowassa ~Eddo
John pombe~JPM