Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

7. Twaha hamidu "noriega" - simba
8. Ezeckiel grayson " jujuman"- simba
9. Malota soma "balljugler" -simba
10. Samli ayubu "beki msatarabu" majimaji
11. Madaraka seremani "mzee wa kiminyio" simba
12. Daudi salum " brucelee"- simba
13. Victor coasta "nyumba" simba
14. Saidi swedi "scud" - yanga
15 zamoyoni mogela "Golden boy" - SIMBA
17. Saidi Mrisho "ZIKO WA KILOSA"- Plisner
18 Frenk Kasanga " Bwalia" - Nyota Nyekundu

Nakumbuka wakikutana kati ya Frenk kasanga na Ziko wa klosa ilikuwa RAHA
R.i.p Said Mrisho " zico wa kilosa "
 
Daah.Abdallah Bori...
270139_10150390672129498_673909497_10026318_5678922_n.jpg
 
Naanza na hawa wafuatao;
1.Sunday Manara 'Computer'
2.Kitwana Manara 'Popat'
3.Omary Hussein 'Keegan'
4.Thomas Kipese 'Anko Thom'
5.Steven Mapunda 'Garrincha'
6.Abdi Kasim 'Ballack wa Unguja'
7Haruna Moshi 'Boban'

Endelea na wewe...
Malota Soma -Ball Juggler

ZAMOYON Mogella-Golden Boy

SAID Suwed -Scud
 
Back
Top Bottom