Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo

Kwanini aliitwa Kizota? Kwa anayefahamu.
Aliitwa Kizota akifananishwa na yalipikuwa makai makuu ya ccm oale Kizota jijini Dodoma.

Miaka ile mwenyekiti wa ccm akiwa Nyerere kuna watu wengi nyadhifa zao zilipotea Kizota.

Ilikuwa kama umefanya kosa ukipelekwa Kizota ni ngumu kuchomoka, mfano kama Rais wa pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe alivuliwa nyadhifa zake za Urais wa Zanzibar pale Kizota baada ya kujaribu kuuvunja muungano.

Hata aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa CCM ndugu Horace Kolimba alipoteza nafasi yake hyo pamoja na mauti kumkuta akiwa Kizota Dodoma.

Sasa wakereketwa wa Yanga wakamtunga jina Said Mwamba jinsi alivyoweza kuwadhibiti na kuwatuliza washambuliaji imara akifananishwa na Kizota jinsi CCM ilivyowadhibiti watu wake.
 
Aliitwa Kizota akifananishwa na yalipikuwa makai makuu ya ccm oale Kizota jijini Dodoma.

Miaka ile mwenyekiti wa ccm akiwa Nyerere kuna watu wengi nyadhifa zao zilipotea Kizota.

Ilikuwa kama umefanya kosa ukipelekwa Kizota ni ngumu kuchomoka, mfano kama Rais wa pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe alivuliwa nyadhifa zake za Urais wa Zanzibar pale Kizota baada ya kujaribu kuuvunja muungano.

Hata aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa CCM ndugu Horace Kolimba alipoteza nafasi yake hyo pamoja na mauti kumkuta akiwa Kizota Dodoma.

Sasa wakereketwa wa Yanga wakamtunga jina Said Mwamba jinsi alivyoweza kuwadhibiti na kuwatuliza washambuliaji imara akifananishwa na Kizota jinsi CCM ilivyowadhibiti watu wake.
Hahahaha, ufafanuzi murua
 
7. Twaha hamidu "noriega" - simba
8. Ezeckiel grayson " jujuman"- simba
9. Malota soma "balljugler" -simba
10. Samli ayubu "beki msatarabu" majimaji
11. Madaraka seremani "mzee wa kiminyio" simba
12. Daudi salum " brucelee"- simba
13. Victor coasta "nyumba" simba
14. Saidi swedi "scud" - yanga
15 zamoyoni mogela "Golden boy" - SIMBA
17. Saidi Mrisho "ZIKO WA KILOSA"- Plisner
18 Frenk Kasanga " Bwalia" - Nyota Nyekundu

Nakumbuka wakikutana kati ya Frenk kasanga na Ziko wa klosa ilikuwa RAHA
Huyo namba 12 ilikuwaje akaitwa bruce lee?
 
Aliitwa Kizota akifananishwa na yalipikuwa makai makuu ya ccm oale Kizota jijini Dodoma.

Miaka ile mwenyekiti wa ccm akiwa Nyerere kuna watu wengi nyadhifa zao zilipotea Kizota.

Ilikuwa kama umefanya kosa ukipelekwa Kizota ni ngumu kuchomoka, mfano kama Rais wa pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe alivuliwa nyadhifa zake za Urais wa Zanzibar pale Kizota baada ya kujaribu kuuvunja muungano.

Hata aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa CCM ndugu Horace Kolimba alipoteza nafasi yake hyo pamoja na mauti kumkuta akiwa Kizota Dodoma.

Sasa wakereketwa wa Yanga wakamtunga jina Said Mwamba jinsi alivyoweza kuwadhibiti na kuwatuliza washambuliaji imara akifananishwa na Kizota jinsi CCM ilivyowadhibiti watu wake.
Kizota haijawahi kuwa makao makuu ya CCM
 
James Tungaraza BOLI ZOZO

MBUMBUMBU hawamsahau huyu mwamba
 
Back
Top Bottom