Tujikumbushe ukweli kuhusu Uhuru Kenyatta...

Tujikumbushe ukweli kuhusu Uhuru Kenyatta...

Mkuu Ab teachers,
Zile fedha za yule Lawyer wa Arusha ni za Uhuru!. Aliamua kuziweka Arusha, ili iwe rahisi ku transfer bulk cash undetected!. Alipanga kuzigawa kama njugu kununulia urais.
Merry X-mass & Prosperous New Year!.
Pasco

Duh. Very shocking indeed! Wakili anaozea jela kwa pesa za mwanasiasa wa nchi jirani? Sikuwa nafahamu suala hili. Kimsingi, serikali ya Tanzania ilishtuka sana kukuta wakili Mwale wa Arusha ana zaidi ya bilioni mbili katika akaunti yake binafsi ilhali hana biashara za kueleweka mjini, wala hatambuliki kama mlipa kodi mkubwa kutokana na ukwasi huo. Pole yake.
 
It is true central province has benefitted over the years from its close proximity to the economic centre and capital nairobi. however this will ultimately change as economic devolution comes into practice. But we have people who said raila is the man who brought devolution. Correction raila was drumming the wasteful umajimbo government/federal governments
 
Duh. Very shocking indeed! Wakili anaozea jela kwa pesa za mwanasiasa wa nchi jirani? Sikuwa nafahamu suala hili. Kimsingi, serikali ya Tanzania ilishtuka sana kukuta wakili Mwale wa Arusha ana zaidi ya bilioni mbili katika akaunti yake binafsi ilhali hana biashara za kueleweka mjini, wala hatambuliki kama mlipa kodi mkubwa kutokana na ukwasi huo. Pole yake.

Nd'o hali halisi ya hawa mabwana....use people and dump them with reckless abandon.

..wakili Mwale anajijutia kwa nini alikubali hela ya huyu mhuni ambaye kwa sasa anakabiliwa na mashtaka ya
jinai nchini mwake.
 
It is true central province has benefitted over the years from its close proximity to the economic centre and capital nairobi. however this will ultimately change as economic devolution comes into practice. But we have people who said raila is the man who brought devolution. Correction raila was drumming the wasteful umajimbo government/federal governments

Can you please make a point without having to rope the Prime Minister into your warped arguments mazee?

One fallacy you are trying to spin up there is that central province has benefitted over the years from its
close proximity to the economic centre and capital Nairobi. NOT TRUE!!!!!

...Central Province has benefiited because of the triblistic/Nepotistic tendencies of 2 of the 3 presidents
that Kenya has had since independence!
 
The fact that the writer of the article cannot even tell who has funded the Thika superhighway is really telling. There will be articles demonising uhuru and odinga and they will come with all manner of spin stories but those without peanut brains will know to read between the lines.
 
IMO writers that are myopic and endemicaly narssistic are normally guided by ignorance.

The new constitution as important as it is to the future wellbeing has become a chicken and egg situation. Stakeholders I need to gauge the Kenyans here. PS answer the question below. right Answer will be given on friday.

Q1. Who brought in the new constitution?

A. Raila
B. Kibaki
C. Registered voters
D. All of the above
 
IMO writers that are myopic and endemicaly narssistic are normally guided by ignorance.

The new constitution as important as it is to the future wellbeing has become a chicken and egg situation. Stakeholders I need to gauge the Kenyans here. PS answer the question below. right Answer will be given on friday.

Q1. Who brought in the new constitution?

A. Raila
B. Kibaki
C. Registered voters
D. All of the above

None of the above..... KENYANS did!...Members don't have to wait for Friday for the obvious.
 
Nd'o hali halisi ya hawa mabwana....use people and dump them with reckless abandon.

..wakili Mwale anajijutia kwa nini alikubali hela ya huyu mhuni ambaye kwa sasa anakabiliwa na mashtaka ya
jinai nchini mwake.

...na ilikuwa ni pesa ndefu kwelikweli. Have a look at this.....

  1. Kosa la kwanza hadi la tatu ya kughushi anadaiwa kuyatenda Januari 6 na Januari 13, 2010.
  2. Kosa la tatu hadi la 13 ni la kuhujumu uchumi ambalo alifanya Februari 16, 2010 ambapo alihamisha fedha zaidi ya shilingi bilioni 1.9 kutoka kampuni ya Ogembo Chacha na Gregg Motachwa Mwita.
  3. Kosa la nne ni la Machi 5, 2010 la kufanikiwa kuhamisha Dola za Marekani 200,000.
  4. Kosa la tano lilitendeka Machi 30, 2010 ambapo mtuhumiwa anadaiwa kufanikiwa kuhamisha Dola za Marekani 159,500.
  5. Kosa la sita ni la Septemba 27, 2010 la kufanikiwa kuhamisha Dola za Marekani 5,500.
  6. Kosa la saba linadaiwa kutendeka Novemba 2, 2010 la kufanikiwa kuhamisha Dola 1,246,624.84.
  7. Kosa la nane lilitendeka Disemba 21, 2010 na mtuhumiwa alifanikiwa kuhamisha Dola za Marekani 416,000.02.
  8. Kosa la tisa ni la Disemba 24, 2010 na lilifanikisha kuhamisha Dola za Marekani 521,000.
  9. Kosa la kumi linadaiwa kutendeka Januari 7, 2011 Dola za Marekani 808,000.02 zilihamishwa.
  10. Kosa la kumi na moja lilitenndwa Februari 9, 2011 la kuhamisha Dola za Marekani 527,000.02.
  11. Julai 13, 2011 mtuhumiwa alidaiwa kuhamisha Shilingi 330,000,000/= ikiwa ni kosa la 12 .


Source: Wakili Mwale asomewa mashitaka akiwa hospitalini - wavuti.com]

Labda mliopo Kenya mniambie, utajiri wa Uhuru Kenyatta unakadiriwa kuwa ni dola milioni ngapi? Inawezekana utajiri huu aliouficha kwa Mwale ni 'tujisenti' kidogo sana!
 
Back
Top Bottom