Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ndiyo Tigo!Buzz ni bomba
Nilienda Tbr mwezi July nikakuta zipo sokoni.Wapi mkuu?
Pipi za tofi
... pia tulitumia cofta, vics kingoKuna dawa ya kikohozi ilikuwa inaitwa “Mkojo wa Punda”
.... wewe ulikuwa mtoto mambo safi familia bora mboga 7 kunisevia, sisi baruti zetu tulikuwa tunatumia spoke za baiskeli na unga wa njiti za kiberiti.Bastola ya Baruti na Bastola ya Vitunda..
Kama wewe hujachezea hizi basi we sio mjanja..
Binafsi nilikua napenda ile ya vitunda ambayo ina uhalisia yani unatoa magazine na kuijaza vitunda halafu una cock.. Mzuka wake ni nouma
View attachment 2724714
View attachment 2724715
.... wewe ulikuwa mtoto mambo safi familia bora mboga 7 kunisevia, sisi baruti zetu tulikuwa tunatumia spoke za baiskeli na unga wa njiti za kiberiti.
ahaahah.. mkuu usitorokeee. kubali tuu hizo watoto wa kishua mlikuwa mnatutishia tunakimbia kama nini.Hapana sio kwamba mambo safi ila kwa sisi tulisoma shule za mjini tumepata hii experience. Nikirudi kitaani pia nakutana na experience nyingine. Yani baruti za spoke pia nimezipiga sana
Codray Bado ipo sema haisambai sana.Kinywaji cha Vinto.
Gazeti la Alasiri.
Sabuni ya Codray.
Chupi za VIP.(Taiwani)
Sabuni za AYU.
Iliitwa karabaiChemli ya stove.
Hizi zipo sema zimekuja kivingine sio tule twa kuteleza na vimikanda vyake vibaya ila tulikuwa tugumuUmoja kandambili